nenda kwenye blog ya sintah au mange kimambi utaziona
Hii nashindwa kuelewa wana jamvi nini? Maamuzi yao au wanategeshewa Camera?
Naogopa Ban kuzitupia hizo picha...
Acha utoto si lazima CDM wakifanya mabaya basi na nyie CCM mnatafuta ubaya kufanya leveling ni ujinga,subiri kwanzaa hii habari ya mjini imalizike ndiyo uje na habari yako ya Mheshimiwa Machemli mbunge wa Ukerewe
Mtt ana mpododo!!!! Ila duuh cjui nan anawategeshea wenzie hivi! Ben saanane uko wap maana za Komba ulizishadadia mkuu!
Meiona Tatiana lakin Ban.... hizi za leo cio mchezo cio kama zle za Kombaaaaa
mwenye hizo picha nitumie kwenye PM nijitoe mhanga
Nimeuliza ban ya muda gani? Nataka kuziweka ili watu washuhudie yaliyo gizani ya wala kodi zetu....aaaagh
Acha tu mkuu mie hadi suruali imekua njiwa ghafla. Mtoto km yule taratiiiiibu km futari vile.
Life Ban
Mkuu umekosea kuniQuote nn? Mbona tofauti na nilichokieleza?