Kama huogopi ban ziweke mie sina ID mbili mbona ningefanya hivyo. Nimechoka Ban
Duuh labda admin aniruhusu otherwise ban itanihusu nikizipost
Duh sasa ndio unatupa mzuka au?mbona za mzee wa msituni zilimwaga na thread inaendelea punguza uoga wa ban.
Na ile cheni kiunoni mie ndo ugonjwa wng sio mashanga kibao size ya mkono yakikatika adhabu kuziokota
Ninazo aisee hizo picha sema naogopa Ban tu hapa Mkuu...
Heheiyaaa...basi usinisogelee....na raha ya cheni ivutwevutwe...kweli alifaidi mbunge
Kweli wabunge wetu kweli wamekorogwa mix kuvurugwa wanatia aibu
We bint unanipa mzuka hembu soma nishakuPM...
Hizi sio kama za Kapten,hizi ni nouma mambo hadharani.Singo ya leo ni kali aisee ya jana imepotezwa mbaya
We bint unanipa mzuka hembu soma nishakuPM...
bila picha hii siredi ni bure kabisa.......
Huku tuendako siyo! I see the evolution of 'ze utamu'.
Hata mm mkuu mtoto kala cheni kiunoni,,,wakubwa wanafaidi jaman.