Mbunge wa Ukerewe amlipa Komba

Mbunge wa Ukerewe amlipa Komba

Status
Not open for further replies.
Umbeya mtupu, kibaya zaidi kutoka kwa wanaume!
 
HII ni siasa baada ya Machemli KUISHINDA SERIKALI OVU YA ccm kwenye kesi ya uchochezi hii ndio staili mpya waliyokuja nayo wale jaama wa LUMUMBA
JEMEDARI WAO komba BAADA YA KUAIBISHWA wameona ni kumdhalilisha machemli siasa za maji taka ndio muongozo wa vijana wa lumumba
 
Picha zipo wapiiiii


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hii habari ililetwa jukwaa la siasa fasta ikafutwa,
 
Mdau kapoteza point 3 and as along as ni tabia yake sidhani kama ataona haya. Hovyoooo.....
 
Hii ni funga kazi. Nina uhakika hakuna itakayozidi hii. Aisee!
 
Gadem...atafutwa au!??

Mimi nitafuatilia kujua. Asipochukuliwa hatua yeyote na yule askari aliyefukuzwa kwa kupigwa picha ya uchi arudishwe kazini mara moja.

Cc; KOVA
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom