TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,695
- 2,449
Jamani eee, waleteni wengi kadri inavyowezekana. Mimi naenda Jukwaa la Wakubwa kuweka za weheshimiwa wengine. Tutaheshimiana tu.
Zimwagwee tu..wao wanachepuka kwa nn?
Jamani eee, waleteni wengi kadri inavyowezekana. Mimi naenda Jukwaa la Wakubwa kuweka za weheshimiwa wengine. Tutaheshimiana tu.
Mbunge wa CHADEMA teh teh
Yule jamaa wa ukerewe mlevi sana na anapenda malaya anajulikana kwa kazi hiyo.
Mkuu nashkuru sana ila haya matusi unitukane siku ambayo sio Ijumaa. Yarudie kesho
mi mbona kama sielewi hata kidogo. Whats going on here ?
ninazo za sugu kesho nitazitupia huku jamvini...hizo ndio funga kazi...pipoooooooosssss
Dah! Hapa Photoshop haihusiki, Halfu nimetonywa kuwa hata Video yake ipo!
Picha za Ngono sema ss zako ndo balaa..
stata mzuka muulize Invisible
Naona watu wenye taaluma ya kughushi picha wanawaaminisha Watanzania ndivyo sivyo...
Lile wimbi la Ze Utamu na mkulu JK naona kama linarudi tena...
Hii nashindwa kuelewa wana jamvi nini? Maamuzi yao au wanategeshewa Camera?
Naogopa Ban kuzitupia hizo picha...
Yani ni aibuu mnoooo picha chafuuu nimeziona nikachokaaa
nipe link basi nizifuate zilipo, maana nimejitahidi kuzitafuta ola....
mrembo nimekumis
Ha ha ha ya Komba mbona hukusema? Kunya anye kuku ila Bata....???
Teh teh miss u 2, umeona mambo ya waheshimiwa wetu?