Kwa kweli kila kukicha afazali ya jana, wanachuana na bongo movie
Amemlipa nini ? Funguka.
bongo movie hata hawauwezi huo mziki
bongo movie hata hawauwezi huo mziki
Ha haaaa mziki mneneeee hatareeeeeee
bongo movie mpaka waanze kuunga unga,chezea posho haina kutongoza ni kupachika tu
Kweli pesa mwana haramuuu ukiwa nayo kila kitu bwerereeeee
ndo mana roma mkatoliki akasema ikulu imejaa vibaka manzese wanawakamata,hata kama nimevaa mlegezo ikulu napiga chata,yani wabunge wameamua kujinafasi ,wananchi wafate yao aiSee
Ha haaaaa wakuombewa haoooo!
hata mimi ninazo