MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Umewachoma moyoni machoni?
Ukistaajabu ya Musa...
Hizi sasa ni za aibu kwa mtu wa wadhifa na umri ule. Eeh Mungu tuepushe na dhambi na aibu kama hizi. Mbona moto wa milele unatuita?
Goooooood! Dah kaaaaaazi kweli kweli!
Kigogo wa ukerewe amefaidi duuuh
Haya wale mliokuwa mnamshambulia Komba mko wapi?
Wewe Ni FA.la, mpuuzi #$%@dg, hauna akili, Una kihelehele, unapenda kupata attention kwa kitu ambacho huna, chukua matusi Saba ya nguoni yakakusitiri....
Huwezi kuleta habari ya kusisimua namna hii bila picha. David Cameron mkubwa weee, Didas Masa.buri wee, sengerema weee. Weka picha hapa tufaidi acha upuuzi. Umeanzisha Uzi WA nini sasa alaaaaaa
Umbeya mtupu, kibaya zaidi kutoka kwa wanaume!
Tehe tehe mbavu zangu jamani uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Jamani eee, waleteni wengi kadri inavyowezekana. Mimi naenda Jukwaa la Wakubwa kuweka za weheshimiwa wengine. Tutaheshimiana tu.
Hii nashindwa kuelewa wana jamvi nini? Maamuzi yao au wanategeshewa Camera?
Naogopa Ban kuzitupia hizo picha...