Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Source plse
Hii ni janja ya CCM kuua ndege wawili kwa jiwe moja.
Ni hayo tu, hii habari si ya kuchekelea hata kidogo.
- Kama huyo mbunge alikuwa mpinga mafisadi basi atakuwa amekomolewa kwa sababu CCM inauhakika bora nchi iuzwe kuliko kulikosa hilo jimbo endapo mtoa habari yupo sahihi.
- Kuanza kuwafunga wabunge wa CDM kwani watakuwa wameonyesha mfano kwao, na bila ya shaka wataanza na G. Lema, wengine watafuata.
Itawezekana tu endapo katiba mpya itabadilisha sheria inayosimamia sifa za mgombea uongozi kwa maana kwa sasa ukihukumiwa kifungo huna sifa za kugombea hata ukitoka labda kama ulikata rufaa na kushinda.akija aje kugombea jimbo hilo hilo kwa ticket ya chama kingine atashinda tu kama kasingiziwa kosa. Kama alikosa kweli alale mbele
Huijui sheria ya nchi wewe, ukifanya kosa la jinai na ukatiwa hatiani kwanza huruhusiwi kugombea nafasi yoyote ile serikalini kwa sababu ya kosa hilo la jinai. Kama una wadhifa wowote ukitiwa hatiani unakoma on the spot.Miezi 10 tu! Hakuna haja ya kurudia uchaguzi, tusubiri akatumikie kifungo (ambacho kwa usiku na mchana ni miezi mitano), akitoka aendelee kuwakilisha wananci wake, tuokoe fedha za uchaguzi
We usijifanye u-smart sana, jamaa ameruka herufi moja ya heading ina maana hata habari hujaielewa? Mbona wenzio wanachangia, Shoga we!Sijaelewa, kafungwa au kafugwa?
Huijui sheria ya nchi wewe, ukifanya kosa la jinai na ukatiwa hatiani kwanza huruhusiwi kugombea nafasi yoyote ile serikalini kwa sababu ya kosa hilo la jinai. Kama una wadhifa wowote ukitiwa hatiani unakoma on the spot.
Mkuu! Duu! Lazima wakombowe muda si mrefu!
Huijui sheria ya nchi wewe, ukifanya kosa la jinai na ukatiwa hatiani kwanza huruhusiwi kugombea nafasi yoyote ile serikalini kwa sababu ya kosa hilo la jinai. Kama una wadhifa wowote ukitiwa hatiani unakoma on the spot.