Kama Igunga.jimbo wazi kwa CDM
Kama Igunga.jimbo wazi kwa CDM
Mkuu unaona mbali sana, kweli yawezakuwa hv!
.
Mbona rage alilioa faini ya bastola yake na kubaki na ubunge? Ama Tz sheria zina double standards.
.
Sheria inasemaje kuhusu hili?maana hapa keshapatikana na kosa la jinai jee bado anazo sifa za kuwa mbunge?Sources zangu toka Mbeya mjini zinasema alitakiwa aende jela miezi 10 au faini Sh 500,000. Yeye kalipa fani ya Sh 500,000 na kuwa huru.
amefungwa miezi 10
Mkuu hizi habari ni za kweli kabisa. Nimesikia muda huu kupitia redio one kuwa mbunge DICKSON KILUFI Amehukumiwa miaka kumi au alipe faini ya Tsh 500000/= na kua mbunge huyo amelipa cash laki tano na yupo huru.
December 14, 1999, Mtikila alifungwa mwaka mmoja jela kwa kukutwa na hatia ya uchochezi, lakini mwaka 2005 akagombea urais kwa tiketi ya DP. Au kosa lake sio la jinai?Huijui sheria ya nchi wewe, ukifanya kosa la jinai na ukatiwa hatiani kwanza huruhusiwi kugombea nafasi yoyote ile serikalini kwa sababu ya kosa hilo la jinai. Kama una wadhifa wowote ukitiwa hatiani unakoma on the spot.
Kesi iliyokuwa inamkabili Mbunge CCM Mbarali ambaye alikuwa katika kambi ya wapinga mafisadi alikuwa anakabiliwa na kesi ya kutishia kuua amefungwa miezi 10 na hivyo kuachia kiti kama sheria za uchaguzi zinavyosema.
Pole Nape, Sita, Mwakyambe na Mama kilago malecela shughuli inakuja kwenu mpiganaji wa tatu ametoweka tukianza na Seleli, Mpendazoe na sasa Kilufi wa Mbarali
Kesi iliyokuwa inamkabili Mbunge CCM Mbarali ambaye alikuwa katika kambi ya wapinga mafisadi alikuwa anakabiliwa na kesi ya kutishia kuua amefungwa miezi 10 na hivyo kuachia kiti kama sheria za uchaguzi zinavyosema.
Pole Nape, Sita, Mwakyambe na Mama kilago malecela shughuli inakuja kwenu mpiganaji wa tatu ametoweka tukianza na Seleli, Mpendazoe na sasa Kilufi wa Mbarali
nchi hii kweli inawenyewe!
taarifa hii bado inahitaji kuthibitishwa kabla ya watu kufikia hitimisho.
Lakini niseme tu kwa ufupi kwamba, mbunge wa mbarali dickson kilufi si maarufu kiasi hicho na hata kusema kwamba ni mmoja katika wale wa kundi la wapambanaji dhidi ya ufisadi, ingawa umaarufu si tiketi ya kuwa mpambanaji. Kumbukumbu yangu ni kwamba alikuwa ni diwani kabla ya kushinda ubunge 2010 na alielezwa tangu awali kuwa katika misuguano na uongozi wa ccm wilaya ya mbarali na uongozi huo wa ccm wilaya ya mbarali walishapendekeza afukuzwe uanachama lakini uongozi wa mkoa wa mbeya ukamnusuru. Bila shaka kinachoendelea kujiri huko mbarali ni muendelezo wa ugomvi uliopo baina yake na uongozi wa wilaya.
Sitegemei mbunge wa ccm kufungwa jela kirahisi kiasi hicho. Nachofikiria ni kwamba labda atakuwa amehukumiwa kifungo cha kwenda jela ama kulipa faini na bila shaka atakuwa amelipa faini na kurudi zake mbarali.
bado ataendelea kuwawakilisha wananchi akiwa lupango?