kisugujira
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 774
- 196
Jamani hizi takwimu mnazipata wapi wapi? Wachina wako billion 2? Ama kweli Jamii Forum!
Salisalum, Kutokana na sensa ya Desemba 31,2012 nchi ya China ilikuwa na watu 1,354,040,000. India ilikuwa na watu 1,210,569,573 kutokana na sensa iliyofanyika Machi 1,2011. Kutokana na sensa iliyofanyika Ogasti 26,2012, Tanzania inasemekana ilikuwa na watu 44,928,923. Nchi ya Vatican ilikuwa na watu 800 tu hapo Julai 1,2012! Dunia nzima ilikuwa na watu bilioni 7.09 hapo mwaka 2012! Kwa uthibitisho zaidi ingia kwenye google.