TANZIA Mbunge wa Chalinze (Said Bwanamdogo) afariki dunia

TANZIA Mbunge wa Chalinze (Said Bwanamdogo) afariki dunia

unaambia amefariki , habari kamili ipi unayoitaka ? Kama ni mipango ya mazishi wasiliana na ndugu wa marehemu walioko chalinze .

hahaaaaa anataka kujua ratiba ya mazishi kama anasafiri kwenye morogoro abadilishe njia maana hivi JK atakuwa anapang kanzu zake kujiandaaa na safari ya Chalinze...Pumzika wewe Bwanamdogo
 
Bi Zogwale, hatimaye wamefafanua kwamba amekua akiugua kwa muda wa miaka miwili sasa na Muhi-2 amelazwa kwa wiki moja hadi umauti ulipomkuta
Poleni wafiwa!!! Ila hii terminology au msamiati wa kuugua kwa muda mrefu inamaanisha kitu gani??? Yaani huko kuugua kwa muda mrefu si ni lazima kulikuwa na ugonjwa ambao ndo source ya kifo. Si waseme kama mtu kaugua muda mrefu presha, kisukari, cancer, malaria, n.k? Watanzania bila kuwa wazi katika mambo mengine hakika hatutafika mbali sana!!! I real loved Mandela na mtoto wa yule mwanamuziki F. Kunte aliyepokea tuzo wa music (Cora Award, sijui kama spelling ni sawa). He openly dedicated his award to HIV/AIDS victims and said "My father died of it"
 
Mkuu, naomba uelewe huyu hakuwekwa na ccm madarakani, ni wananchi walimchagua, na pia wakati anawekwa madarakani hakuwa mgonjwa, na hata kama alikuwa mgonjwa wananchi hawakuona mbadala. Mkuu chadema walisimamisha asiye mgonjwa lakini wananchi ndio chaguo lao hebu tuacheni hizi siasa za kijinga.

mkuu achàna na wapumbafu
hakuna mwanadamu mwenye hakika ya uhai wake
hao vibabu wa ufipa wadhoofu wa viungo hajawaona?
 
wana jf
kuna taarifa za kusikitisha kuwa mbunge kijana kwa tiketi ya CCM Saidi Bwanamdogo amefariki leo hospilali ya Mhimbili baada ya kuugua kwa muda mrefu
source ITV breaking news
 
Poleni sana wafiwa, Mwenyezi Mungu awape nguvu na uvumilivu!
 
ccm wanatutia HASARA. WANAWEKA WAGOMBEA AMBAO NI WAGONJWA SO BAADA YA MUDA MFUPI WANATURUDISHA TENA KWENYE CHAGUZI NDOGO..!!! WENZAKE WANAFIA KUANZIA SOUTH AFRICA,USA N.K,YEYE MOI MUHIMBILI TENA ALIKOLAZWA MUDA MREFU??????????????????????????????????

mbona ufipa kuna walemavu wa viungo unawaheshimu?
kufa ni fumba na kufumbua
 
mkuu achàna na wapumbafu
hakuna mwanadamu mwenye hakika ya uhai wake
hao vibabu wa ufipa wadhoofu wa viungo hajawaona?

Chadema wamekuwa na tabia kama wanyamapori, nakumbuka kifo cha regia mtema watu walisahau tofauti na wakaja pamoja na wala hapakuwa na comments za aina hii. Ni tabia chafu.
 
Waache wafe tu kwani watanzania tunaendelea kuangamia kwa ujinga wao
 
Poleni wafiwa!!! Ila hii terminology au msamiati wa kuugua kwa muda mrefu inamaanisha kitu gani??? Yaani huko kuugua kwa muda mrefu si ni lazima kulikuwa na ugonjwa ambao ndo source ya kifo. Si waseme kama mtu kaugua muda mrefu presha, kisukari, cancer, malaria, n.k? Watanzania bila kuwa wazi katika mambo mengine hakika hatutafika mbali sana!!! I real loved Mandela na mtoto wa yule mwanamuziki F. Kunte aliyepokea tuzo wa music (Cora Award, sijui kama spelling ni sawa). He openly dedicated his award to HIV/AIDS victims and said "My father died of it"

Nadhani ni Fela Anikulapo Kunte.
 
R.I.P mh.mbunge wa chalinze.hakika kila nafsi itaonja mauti.
 
Chadema wamekuwa na tabia kama wanyamapori, nakumbuka kifo cha regia mtema watu walisahau tofauti na wakaja pamoja na wala hapakuwa na comments za aina hii. Ni tabia chafu.

He!!! CDM tena!!..Mbona Uzi huu Unaanza kuingizwa siasa??

R.I.P Mbunge..
 
Mungu aweke roho yake mahali inapostahili. Pole sana wafiwa
 
Back
Top Bottom