TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Ari ya kisiasa si shwari katika mji wa iringa ni baada ya maamuzi ya cc ya chadema kumvua uenyekiti wa chadema mkoa Mh.chiku abwao kutokana na hoja iliyoletwa na Mh.peter msigwa juu ya ukosefu wa demokrasia katika upatikanaji wa mwenyekiti huyo wa mkoa!