Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Huyu, wenzake walishaandaa tamasha kabla yake, yeye anachoshindana ni nini? Anataka kuwaharibia kazi zao? Si angesubiri leo wenzake kesho yeye.
Asiruhusiwe kabis kufanya hiyo shoo yake. Anania mbaya huyu.
Huwezi kuzuia riziki za wengine eti asiruhusiwe kabisa. Kazi za kutonya baadhi yetu tusio na utetezi sasa zinaelekea ukingoni YAANI MPAKA KIELEWEKE. POLENI MNALO HILO