Mbunge Sugu aelezea kukamatwa kwake na kinachoendelea Mbeya Mjini hivi sasa

Safi sana Sugu pigania haki bila kuchoka na sisi tunakuunga mkono, Huyu Zitto nae akatoe sauti yake kwenye lile tangazo la fiesta. Haina maana huku Sugu anajitahidi kupigania haki halafu Zitto nae anaunga mkono.
Unajua huyu jamaa Zitto kuna problem kidogo ndio ni haki yake kuoongea na clouds lakini kuna vitu unaweza kuviona vidogo lakini vikawa na impact kubwa ni sawa na Shibuda alipohudhuria sherehe ile huku chama kimesusia ni kitu cha kawaida lakini ukichunguza kuna shida. Zitto kuruhusu sauti yake huku kuna mbunge wa chama chake wana conflict na sehemu hiyo ni kama clouds wanataka kuwagombanisha Sugu na Zitto bila wao kujua in a long run inaweza kuleta hisia tofauti kwa wanachama na viongozi wengine.
 
tatizo la msingi linaanzia kwa wasanii wetu hawa.........wengi wao ni wajinga sana tena sana........hawajui haki zao kazi kuuza sura na kuvaa miwani mikuuuubwaaa!!!
 
Jamani watanzania nilini tutabadilika?kweli kila kitu twaona ni mzaha,hapa twenda pabovu
ebu ni iingie kuijadili hoja hii,,natoa utabiri kwamba siku za hawa polisi wasoreason zinahesabika,,please tz police...change...change....change....hatutakubali mwendelee kuwadhalilisha viongozi wetu tena tunaowaamini kama baba na mama zetu,,,sugu usichoke uovu wa clouds unafahamika ni lengo lao kujilimbikizia mali na kuwaacha wasanii wetu makoo yakichubuka.
Tunajua kaz walofanya during uchaguzi chini ya kibonde,,,walidhalilisha viongozi wa upinzani,,walituadaa kwa uongo kua cdm hawafai,ukweli tukaujua tukawaponda...saiz tz hapana sanaa za ndani pasipo clouds,,wao ni nani?nani kawatuma?kwamaslahi ya nani?tumewachoka clouds,polisi na vibaraka wengine.
Tunataka amani,,haki,,,,usawa....tumevumilia wachache kujijaza mahela huku sie tukitaabika na mgao wa umeme,,mlo mmoja tena wa kubangaiza,,,maisha duni na vitisho ndani ya nchi yetu huru..
sugu tuko pamoja na wewe nasi wachache wenye uelewa
tunauchungu na maendeleo ya wasanii na nchi hii
mungu akusimamie na kukuongoja
utaibuka mkweli na mshindi
dhidi ya wadhalimu wachache

 
Ukisikiliza "ANT-VIRUS" utawajua clouds vizuri, "eti anaanzisha chama wakati bila wezi kama yeye tusingehitaji hata chama"...."show za fiesta malipo ni promo mwez mmoja redio"...
 
hivi ile sauti ninayoisikia kwenye matangazo ya Klauzi Sugu akirap, "yamenikutaa yamenikuta....yamenikuta mzee mwenzangu....". Halafu baadaye anasifia fiesta na kuwakaribisha wananchi kwenye tamasha hilo. Je hii ni sauti ya Sugu kweli? Je kama ni sauti yake kweli, alitamka maneno hayo kwa ridhaa yake, au alilazimishwa?

Hii clip ni ya zamani, kama Clouds wanatumia kuvutia wana Mbeya bila ridhaa ya SUGU, Basi jamaa anaweza kuwashitaki wamlipe fidia

 
Last edited by a moderator:
Napenda kujua mambo yameendaje huko mbeya then? Je tamasha la sugu ndo limezimwa na police au vipi?
 
Natamani hii isomwe kwenye radio zote tz, na magazeti yachapishe kwa wingi. Mara kwa mara kwa mwezi mzima na wasanii waalikwe kutoa maoni na uzoefu wao. Kama hizi habari ni za kweli basi Empire ni fisadi, anafanana na EPA. Ni aibu tena kwamba serikali na polisi wanashiririana na Empire kukandamiza wasanii masikiniInakuwaje mikutano ya vyama vya upinzani inakosa vibali lakini Fiesta zinapata? Uvunjivu wa amani unatokea Fiesta, wanawake wanabakwa, watu wanaibiwa, polisi wanalipwa kusimamia watu kufanya ngono kwenye vichochoro na ndani ya magari, matusi, n. k. Lakini wanapata kibali na ulinzi wa polisi
 
Mapambano dhidi ya ukoloni mamboleo ndio yameanza sasa. Ungewapatia na lile songi yako ya Anti-Virus pengine wangekuelewa.
 
Hii clip ni ya zamani, kama Clouds wanatumia kuvutia wana Mbeya bila ridhaa ya SUGU, Basi jamaa anaweza kuwashitaki wamlipe fidia


Its true wanatumia hii sauti kwenye tangzo lao kumbe ni ya Sugu tena inaonekana aliitoa akiwa nje ya nchi, hawa jamaa mafia basi wamlipe kwa kuitumia kwenye biashara yao.
 
Last edited by a moderator:
Huyu, wenzake walishaandaa tamasha kabla yake, yeye anachoshindana ni nini? Anataka kuwaharibia kazi zao? Si angesubiri leo wenzake kesho yeye.

Asiruhusiwe kabis kufanya hiyo shoo yake. Anania mbaya huyu.
 
Nitoke vipi
Hii issue ni ya Sugu kutokea na kuwasaidia wasanii bila kujali itikadi zao.
The good thing is polisi wanasaidia hizi harakati bila wao kujua.
 
Huyu, wenzake walishaandaa tamasha kabla yake, yeye anachoshindana ni nini? Anataka kuwaharibia kazi zao? Si angesubiri leo wenzake kesho yeye. Asiruhusiwe kabis kufanya hiyo shoo yake. Anania mbaya huyu.
sasa akifanya kesho lengo kwani litafikiwa! Anataka leo kwasababu ana lengo!
 
Sidhani kama njia sahii ya kumaliza ubepari kwa Wasanii wetu ni kuingia bifu na Clouds entertainment. Nia ya Sugu siyo mbaya lakini ilipaswa awaunganishe wasanii ili wajue wapi wananyonywa kisha kutafuta njia mbadala itayoleta tija zaidi kwa wasanii. Hadi sasa ni kweli kabisa hao Prime time promotion ndio walioshika soko zima la sanaa hapa Tanzania. Sugu ilitakiwa awe na subira na kujipanga kuwaangusha kwa mikakati makini akishirikiana na wasanii wote maana hao watu wanamtandao mkubwa sana na wamesha washika akiri Wasanii wengi sana.
kuwaunganisha wasanii wote alishawahi siku za zamani kabla ajawa mbunge kupitia events za HIPHOP SUMMIT wasanii walimwelewa na kumsapot ila baadae wakamsaliti baada ya kutishiwa sana wengine kama WAGOSI WA KAYA,CRAZY GK,MR NICE nk wakapotea kabisa,yeye kilichompata ni kuvamiwa kwake na kuibiwa kila kitu chake ikiwemo vifaa vya studio alivyotoka kununua punde..nafikiri akitumia hii kama starting point kufanya mabadiko itasaidia sana.kwani wasanii asilimia99 wanamuunga mkono sema wanaogopa kujitokeza hadharan.kumbuka wasanii karibu wote wa bongo wana elimu ndogo sana,maskini.ivyo wamejaa uhoga na ndio silaha wanayotumia clouds kuwamaliza
 
kuwaunganisha wasanii wote alishawahi siku za zamani kabla ajawa mbunge kupitia events za HIPHOP SUMMIT wasanii walimwelewa na kumsapot ila baadae wakamsaliti baada ya kutishiwa sana wengine kama WAGOSI WA KAYA,CRAZY GK,MR NICE nk wakapotea kabisa,yeye kilichompata ni kuvamiwa kwake na kuibiwa kila kitu chake ikiwemo vifaa vya studio alivyotoka kununua punde..nafikiri akitumia hii kama starting point kufanya mabadiko itasaidia sana.kwani wasanii asilimia99 wanamuunga mkono sema wanaogopa kujitokeza hadharan.kumbuka wasanii karibu wote wa bongo wana elimu ndogo sana,maskini.ivyo wamejaa uhoga na ndio silaha wanayotumia clouds kuwamaliza
Umenena mkuu,itabidi tuwasaidie hawa wasanii najua kupitia hapo Sungu alipoanzia ndio mjadala mkubwa utakuwepo na kufanya hata sisi tulionje ya biashara ya muziki kuingilia kati kuokoa vijana wetu kwa kutengeneza mazingira huru bila kuwepo na chombo au anae monopolize industry nzima! Maana hadi maafisa wa masoko wa makampuni makubwa wanatumika sana kwa malengo binafsi.
 
100_7796.JPG

Mbunge wa Mbeya Mjini, Mh. Joseph Mbilinyi (Sugu)
akihojiwa na waandishi wa habari mara baada ya kutolewa kituo cha polisi mapema leo.
 
Sugu atueleze hao wasanii kina nani wananyanyaswa au fitna binafsi?
Atwambie wanalipwa ngapi na yeye anataka walipwe kiasi gani? Weka mchanganuo si porojo
Hii ni biashara, wekeza kwenye usanii basi, anzisha redio, anzisha studio tuone utakavyowalipa. Au peleka hoja yenye mshiko bungeni tuone.
Biashara siyo siasa, watakupa kiburi wengi humu ila hutofanikiwa.
Umepata pesa ya ubunge umewekeza kwenye shangingi.
Si ungewekeza kwenye hayo unajifanya kutetea!
 
Ishu anayoizungumzia Sugu unaweza usielewe ila mimi nimekua jirani na wasanii kibao na wengi wanawalaumu sana Clouds ila ndio hivyo wanaogopa kusema mana kunajamaa aliwai kuniambia kundi la wanaume pamoja na wingi wao ila walikua wanalipwa hela ndogo sana Fiesta na ndio maana wasanii wengi majina makubwa pesa hakuna.na mfano wa wasanii walio potezwa na hawa jamaa ni kama Mr.Nice,na wengine kibao na hata Sugu alipoleta vyombo toka mtoni then akavamiwa na vyombo wakachukua hawa jamaa pia waliusika
SUGU kaka"angu imefika atua weka mambo yote wazi mana hawa jamaa sasa wanaboa vipaji kibao vinapotea kwajili yao pia wasanii muamke kutokuakwenu na umoja mtaishia kuthaminika kipindi cha kampeni tu.badae mnafulia mnaonekana wajinga tu watu sasa awaangalii majina wana angalia nini mchango wako kwa jami
Ikumbukwe hawa jamaa walitaifisha ishu ya malaria ya Sugu na sasa studio kina banana zohro walichagua mpaka viongozi na wakaweka utaratibu ili wasanii wote wanufaike so jamaa nayo wameitaifisha hawa ni zaidi ya mafisadi semawengi hawajui
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom