Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
iam confused!jana usiku nilisikia sauti ya sugu(kama ya sugu)akiunga mkono fiesta kwenye clouds radio na nilipigwa na butwaa,au jamaa waliimitate sauti ya sugu??nilinusa harufu ya umafia wa clouds toka inaanzishwa back in 98 or 99...hawa jamaa si wafe wote kwa wakati mmoja..i will bless that day..
Siyo hivyo tu; leo jioni kwenye saa kumi na mbili hivi Clouds walikuwa wanatangaza kuwa Sugu bado yuko rumande na taarifa zitatolewa atatoka lini.
Wako katika Jengo la Manji, Wamewachukua baadhi ya watangazaji toka ITV, Ni wasemaji wakuu wa Chana la Magamba kuliko Radio uhuru, Ni watoa kashfa nzito zisizo na mpaka kwa viongozi wa upinzani wa kitaifa.
Tuje kwenye kwenye CV zao.
Nijuavyo mimi sijawahi kusikia chuo cha Kibonde wala hao wengine zaidi ni mkusanyiko wa mabingwa wa fitina na ukimbele front.
Mr. Sugu kuwe na makosa ya kiuandishi au mengine suala limeeleweka kuhusu u-empire ulivyo kwenye mfumo wa utawala wa JK. Nakupa Big Up kwa taarifa hii ingekuwa ni ujumbe wa simu ni ile wanaita msg sent nikisisitiza haitapotelea kama ambavyo jamaa wanajitahidi kupotezea.