Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,902
- 945
MBUNGE SUBIRA MGALU - MJUMBE WA KAMATI YA UTEKELEZAJI UWT TAIFA ATEMA CHECHE UPOTOSHAJI WA HOJA ZINAZOHUSU BANDARA YA DAR ES SALAAM AKIWA WILAYANI MBOGWE
Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji UWT na Mjumbe wa Kamati ya Uchumi na Fedha Ndg . Subira Mgalu ameeleza kwa kufanua upotoshaji wa hoja zinazohusu Bandari ya Dar Es Salaam.
Mgalu amewaeleza wananchi wa Mbogwe
"Rais Samia hawezi kuuza Bandari yetu wapuuzeni hao waruka na helikopta wanazungumza uovu juu ya Nchi yetu Serikali ya awamu ya sita imejikita kwenye maendelea na sio kulumbana"
Mgalu akamalizia hotuba yake kwa kueleza faida zipatikanazo na ubinafsishwaji wa Bandari ya Dar Es Salaam.
Aliyasema hayo tarehe 26 Septemba 2023 Wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita.
UWT IMARA JESHI LA MAMA KAZI IENDELEE
Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji UWT na Mjumbe wa Kamati ya Uchumi na Fedha Ndg . Subira Mgalu ameeleza kwa kufanua upotoshaji wa hoja zinazohusu Bandari ya Dar Es Salaam.
Mgalu amewaeleza wananchi wa Mbogwe
"Rais Samia hawezi kuuza Bandari yetu wapuuzeni hao waruka na helikopta wanazungumza uovu juu ya Nchi yetu Serikali ya awamu ya sita imejikita kwenye maendelea na sio kulumbana"
Mgalu akamalizia hotuba yake kwa kueleza faida zipatikanazo na ubinafsishwaji wa Bandari ya Dar Es Salaam.
Aliyasema hayo tarehe 26 Septemba 2023 Wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita.
UWT IMARA JESHI LA MAMA KAZI IENDELEE