Kuna mtu aliniambia kwa falsafa kidogo, kuwa JK ni CDM, NIKABISHA!
Lakini kadiri muda unavyokwenda, na vitendo vinavyofanyika, nazidi kuamini pengine upo ukweli fulani.
Muache yeye na Serikali yake waendeleze vitendo vyao,
madhara yake watayaona,soon. Kadi yake, hatapewa!
Lakini kadiri muda unavyokwenda, na vitendo vinavyofanyika, nazidi kuamini pengine upo ukweli fulani.
Muache yeye na Serikali yake waendeleze vitendo vyao,
madhara yake watayaona,soon. Kadi yake, hatapewa!