Mbunge yuko sahihi. Kila siku serikali inawasaidia Chadema kupata wanachama kurokana na presha zao. Hivi ikiwa watu wanaandama barabarani huku hawana silaha yoyote isipokuwa mabango na wengine wamebeba magazeti kama marehemu comredi Ally alivokutwa, kwa nini kuwazuia hadi kwa kufyatua bunduki.
Kama wangewasaidia ili waandamane vizuri ingekuwa na hasara gani kwao?
Hivi kwa kufyatua bunduki na kuua raia kumewasaidia nini zaidi ya kujenga chuki kwa wapiga kura wa mheshimiwa Abood?.
Ama kweli ukizeeka sana huogopi chochote zaidi ya kifo na kwa bahati mbaya nacho hakikwepeki.
Huyu kwanza si yule aliyekuwa na kashfa ya kuzika wahanga wa ajali la basi lake la ABOOD pale MDAULA kuficha kashfa ya mabasi yake ya ajali dhidi ya mshindani wake HOOD.Atulie