MBUNGE: POLISI wameshaninyang'anya JIMBO langu...

MBUNGE: POLISI wameshaninyang'anya JIMBO langu...

Jamani na Moro nako wameua? Sasa raia tunasubiri nini? Hatuwezi washughulikia mpaka wahame uraiani hawa? Wakuu mlioko mafiga, msamvu, kihonda n.k lianzisheni mpaka wakimbie!
 
Anazuga tu. Yeye ndie alietoa posho ya askari kulinda maandamano siku zile. Hana lolote anaogopa kesi ya kuua huyo.

Habari ya kupika hii,kayasema wapi Abood? eti "kwa mujibu wa mtu wake wa karibu"
 
Haaache unafiki kabisa yeye na mwenzie Nape wana husika kwenye hili.

Nape kwa maaneno yake aliashiria yaliyo tokea na waliaandaa hili swala!
 
Sitaki niyarudie maneno ya Mabere marando juu umwagaji damu wa pald Arusha mjini kwa mh , Lema lakini nasema kwamba damu ya Ally ni ukombozi wa wana Mororogo na ufunguzi wa ukurasa mpya wa demokrasia .
 
Hizi damu wanazomwaga kila mara wajue zitawalili mpaka mwisho wauhai wao!Naanza kuamini kwasehemu kubwa sana kuwa CDM wanawapa wakati mgumu sana CCM,Staili wanayotumia kujiokoa nikama wanajimalizia!Ebu tusubiri marudio ya Igunga tuone nani atakuwa mbabe 2015!Hili ndilo jimbo langu litakalonipa taswira.
 
hapo bado maandamano ya mazishi.
Mkuu,
nilikuwepo siku ya mazishi kule Arusha wee acha tu. Hawa jamaa wakianza kupiga wimbo wa Feedom come tommorrow. Wallahi nakwambia utatamani uingie vitani saa hiyo hiyo. CCM ndo kwaheri mjini Morogoro.
 
Sasa huyu mbunge huwa najidai kutoa magari ya mazishi. Ngoja tuone kwenye huu msiba kama atatoa. Na akitoa mhh.sijui
 
Asilete za kuleta kama hayo anayoyasema ni ya dhati si angeongea na RPC au OCD juu ya hili na haya yote yasingetoke baada ya kuona yametokea ndo anataka kujiosha juu ya uovu uliofanyika hawezi kukwepa hili adhabu yake 2015.
 
Mbunge wa Morogoro Mjini-CCM,Aziz Abood amekaririwa akisema kuwa vitendo vinavyoendelea kufanywa na Polisi Jimboni mwake,kurindimisha mabomu ya machozi na risasi ni kumpora Jimbo lake.

Taarifa toka kwa Msaidizi wa Mbunge huyo zinadai kuwa vitendo hivyo vya Polisi vinajenga chuki baina ya wananchi na Serikali yao hivyo kuweka jimbo hilo na CCM kwa ujumla mashakani. Ameapa kulalamika kwenye vikao vya Chama. Mwenye maji ampunguzie mwenzie...ngoma inogile!
Nape bado anaona sera ya kutumia Polisi kuwapiga wanachi risasi na kuwaua kwenye maandamano ni muafaka awambie basi wananchi????
 
Mbunge wa Morogoro Mjini-CCM,Aziz Abood amekaririwa akisema kuwa vitendo vinavyoendelea kufanywa na Polisi Jimboni mwake,kurindimisha mabomu ya machozi na risasi ni kumpora Jimbo lake.

Taarifa toka kwa Msaidizi wa Mbunge huyo zinadai kuwa vitendo hivyo vya Polisi vinajenga chuki baina ya wananchi na Serikali yao hivyo kuweka jimbo hilo na CCM kwa ujumla mashakani. Ameapa kulalamika kwenye vikao vya Chama. Mwenye maji ampunguzie mwenzie...ngoma inogile!
Huyu ni mbunge kweli? Ukiona nchi inatumia polisi kuwanyanyasa kina mama na watoto kwa mabomu sii serikali. Huyo mbunge anaisaidia nini nchi hii? Millioni kumi na moja na zaidi kwa mwezi huku raia wakitwanga mabomu na risasi kwa garama ya kodi zao. Ama kweli CCM imeishiwa mbinu. Makamanda msiangalie nyuma kila mtu kashaamka usingizini na kwa pamoja tutajikomboa tu!
 
Mbunge wa Morogoro Mjini-CCM,Aziz Abood amekaririwa akisema kuwa vitendo vinavyoendelea kufanywa na Polisi Jimboni mwake,kurindimisha mabomu ya machozi na risasi ni kumpora Jimbo lake.

Taarifa toka kwa Msaidizi wa Mbunge huyo zinadai kuwa vitendo hivyo vya Polisi vinajenga chuki baina ya wananchi na Serikali yao hivyo kuweka jimbo hilo na CCM kwa ujumla mashakani. Ameapa kulalamika kwenye vikao vya Chama. Mwenye maji ampunguzie mwenzie...ngoma inogile!
Kama anadhani jimbo litaenda chadema basi ajiunge huko ili 2015 alitetee
 
Back
Top Bottom