britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,644
- 30,007
Mbunge wa Geita, Musukuma Kasheku amesema anafurahia kutumia simu yake ya mkononi ya zamani iliyofungwa na rubber band.
Sababu ni kwamba hataki ulimbukeni,
si fisadi na hapelekwi na mihemko ya fasheni.
Ona simu yake kupitia video chini
Sababu ni kwamba hataki ulimbukeni,
si fisadi na hapelekwi na mihemko ya fasheni.
Ona simu yake kupitia video chini