KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,125
- 32,790
Ukitazama comments za humu kuhusu hii Habari ndio utajua kuwa sote tu madikteta isipokuwa wengine wanatumia silaha kuzima habari zisizo pendeza na wengine wanatumia matusi na kejeli
Kila mmoja ana chuki kali dhidi ya aliyetofautiana naye.......
Suala la kutumia vitu vya zamani ni suala la kawaida sana.....lakini kwa kuwa limeletwa kwenye siasa limekuwa jambo la ajabu na lenye kushangaza.........
Kila mmoja ana chuki kali dhidi ya aliyetofautiana naye.......
Suala la kutumia vitu vya zamani ni suala la kawaida sana.....lakini kwa kuwa limeletwa kwenye siasa limekuwa jambo la ajabu na lenye kushangaza.........