PreGE2025 Mbunge Msambatavangu: Mtu mkorogo umedunda, sijui alisahau kupaka poda anataka kuja kutuchonganisha

PreGE2025 Mbunge Msambatavangu: Mtu mkorogo umedunda, sijui alisahau kupaka poda anataka kuja kutuchonganisha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Wananchi hatuna namna, huyoooooo ni chaguo lenu, ni chaguo lenu, mmepata kutoka wapi sisi haituhusu.
Marther Karua sio size yake hata robo, mwenzako amewahi kuwa waziri, aligombea nafasi ya makamu wa rais uchaguzi uliopita halafu ujilinganishe nae, shwaaaaaaaaaaaaaa.
The issue ni kwamba mmelishwa matango poli basi mnadandaia treni kwa mbele bila hata kujua treni hiyo ipo speed namba ngapi, matokeo yake wakubwa zetu wanatukanwa mpaka tunakimbia mitandaoni. Kwani mkinyamaza kuna shida gani, Subiri wale jamaa wakapate hako cacrip, tusije kukimbiana tu.
 
Wakuu leo bungeni kumewaka naona wanatumia muda wote 'kuwachamba' Wakenya

===
Mbunge wa Iringa Mjini, Jesca Msambatavangu wakati akichangia kwenye bajeti ya wizara ya mambo ya ndani amegusia suala la Martha Karua kuja nchini na kile kilichotokea.

"Mama mtu mzima aliyesoma sheria anaondoka kwakwe anapanga na nauli bahati mbaya ukimuangalia uso wake hauna matumaini ukimuangalia uso ule sijui ni mkorogo umedunda sjui ni alisahau kupaka poda anakuja kutuchonganisha ile siyo hali ya kawaida. na walichofanya askari wetu ni kumdhibiti kwa sababu ukiona mtu akili yake haifanyi kazi vizuri unachokifanya ni kumdhibiti" - Jesca Msambatavangu, Mbunge
View attachment 3346298
Soma pia
Ndo wabunge wenu hao full mipasho
 
Wakuu leo bungeni kumewaka naona wanatumia muda wote 'kuwachamba' Wakenya

===
Mbunge wa Iringa Mjini, Jesca Msambatavangu wakati akichangia kwenye bajeti ya wizara ya mambo ya ndani amegusia suala la Martha Karua kuja nchini na kile kilichotokea.

"Mama mtu mzima aliyesoma sheria anaondoka kwakwe anapanga na nauli bahati mbaya ukimuangalia uso wake hauna matumaini ukimuangalia uso ule sijui ni mkorogo umedunda sjui ni alisahau kupaka poda anakuja kutuchonganisha ile siyo hali ya kawaida. na walichofanya askari wetu ni kumdhibiti kwa sababu ukiona mtu akili yake haifanyi kazi vizuri unachokifanya ni kumdhibiti" - Jesca Msambatavangu, Mbunge
View attachment 3346298
Soma pia
Hili bunge letu ni comedy
Sheria ina sema huwezi kumjadilli mtu bungeni asie weza kujibu sasa hawa kina Martha wata jibia wapi zaidi ya kuishitaki serikali kwenye vyombo vya haki duniani??
 
Poleni nyie mnaopata mda wa kuangalia maigizo ya wasanii fake wa ccm
 
Poleni nyie mnaopata mda wa kuangalia maigizo ya wasanii fake wa ccm
 
Mbona Bashiru kama Anaona aibu kwa kile kinachozungumzwa na maza.
Ni njaa tu ila mzee Bashiru humo so kwako. Unaonekan

Kwa intellectual capacity ya Dr Bashiru Ally, nadhani haifai hata kuwamo kwenye Bunge la namna hii. Ni aibu na fedheha. Basi tu kwavile ni utafutaji wa riziki.
Huyo Bashiru na wenzie ndio walishiriki kulitengeneza hili Bunge.

Nadhani alikuwa Katibu Mkuu wa CCM.
 
Martha karua nimemwona toka kitambo hiko akihudumu serikali kama sio ya kibaki, mpaka Leo Tena alikuwa mrembo na ana slay kuliko huyo mama ambaye hata jinsia haijui,

Martha karua umri umeenda kwa sasa, usitegemee ngozi itakuwa akiwa early 40's huko,

Pia ni maumbile ya watu, tuu

Huyo Jesca ana uzuri gani sasa ? Honestly mbona wa kawaida sana Tena sana,

Aache kumkashifu Martha,

Martha karua wa 20yrs back hata huyo Jesca haingii ndani.

Kama walialikwa kweli sioni ubaya wa kina Martha karua juu ya hilo, ni vile Ruto hataki kukosolewa mpaka anapigwa na kiatu shame on him, na pia bibiye mpotoko hataki kukosolewa ndo maana kina Martha wakazuiliwa.

Martha ataendelea na bado ni Ironic Lady. Big five to her.

cc secretarybird
sasa huyo Jesca mwenye sura na umbile, lisoelewekando akajifananishe na ion Lady Martha? akaangalie picha za Martha akiwa binti ndio ataelewa, sijawahi kulipenda kabisa hilo li Jesca, sura mbaya akili halina, kazi kulopoka tu.
 
Wakuu leo bungeni kumewaka naona wanatumia muda wote 'kuwachamba' Wakenya

===
Mbunge wa Iringa Mjini, Jesca Msambatavangu wakati akichangia kwenye bajeti ya wizara ya mambo ya ndani amegusia suala la Martha Karua kuja nchini na kile kilichotokea.

"Mama mtu mzima aliyesoma sheria anaondoka kwakwe anapanga na nauli bahati mbaya ukimuangalia uso wake hauna matumaini ukimuangalia uso ule sijui ni mkorogo umedunda sjui ni alisahau kupaka poda anakuja kutuchonganisha ile siyo hali ya kawaida. na walichofanya askari wetu ni kumdhibiti kwa sababu ukiona mtu akili yake haifanyi kazi vizuri unachokifanya ni kumdhibiti" - Jesca Msambatavangu, Mbunge
View attachment 3346298
Soma pia
Hii ndo cream ya CCM!
 
Hayo maneno angetamka mwanaume (mpinzani) muda huu kungekuwa na matamko si chini ya 100 ya feminists, ila hapa hutowaona.
 
Back
Top Bottom