BHULULU
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 4,994
- 2,044
Safi sana jeshi la polisi,kamata magaidi wote
Sawa mama!
Safi sana jeshi la polisi,kamata magaidi wote
Hafai...
Sawa mama!
Gaidi mama yakoSafi sana jeshi la polisi,kamata magaidi wote
Kwa hiyo Lema atakuwa mahabusu hadi jumatatu... This is very irritating. Hivi Arusha ina polisi wangapi na wafuasi wa Lema wangapi...
Usijisumbue kumuombea, Lema alishasema kwa kule Arusha yeye na Mungu ni ngoma droo kimaamuzi!!
kiukweli it was rong selection watanzania tuache ushabiki kwenye siasa tuchague viongozi makini wenye hoja za msingi sio kam,a mbayuwayu
Ksa nin? huy kamand mbona wanamwndama ivyo? 2juz mkuu
Hivi tulivyoelezwa kuwa kuna watu wameingia JF kama sehemu ya ajira na wanatoa mada kwa kulipwa yawezekana ni kweli; au ndiyo mambo ya ajira kwa vijana? Kweli mwaka huu tutasoma mada zisizo na kichwa na miguu bora tu watu wanafukuzia posho zao kupitia m pesa.
kama hazikuhusu funga DOMO lako?
Tunaomba updates na pia kama unajua sababu zozote za Llema kukamatwa
Safi sana jeshi la polisi,kamata magaidi wote
Tunaomba updates na pia kama unajua sababu zozote za Llema kukamatwa
Na.inasikitisha sana tuna wanasiasa magaidi na wahuni