DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
Kwani lema kafanya nini? Ma ccm bwana.
hakuna cha machaliii...kesho usikimbie hapa jukwaani...mnadanganyana sana nyieMasasi LIwale imewatoa jasho ,Mtwara KIkwete anapaona kituo cha polisi itakuwa Arusha subiri uone waamuke machalii
Kikwete hajaenda Jamaica atakuwa ametoa amri ya kumuua ,nyie ngojeni tuu huyu Raisi na jini sikujua
Haijapita hata wiki huyo jamaa alikuwa akitamba kuwa huko Arusha ni yeye na Mungu tu wa kuamua hatma yake..........jamani tulisema kufuru hizi!hakuna cha machaliii...kesho usikimbie hapa jukwaani...mnadanganyana sana nyie
Usijisumbue kumuombea, Lema alishasema kwa kule Arusha yeye na Mungu ni ngoma droo kimaamuzi!!So unfair........inauma sana kwakweli. Nakuombea Mungu Kamanda Lema nguvu za mashetani Magamba zishindwe. Ee Mungu shusha nguvu zako uyatokomeze magaidi haya MaccM
So unfair........inauma sana kwakweli. Nakuombea Mungu Kamanda Lema nguvu za mashetani Magamba zishindwe. Ee Mungu shusha nguvu zako uyatokomeze magaidi haya MaccM
Sasa nyinyi mlitaka kufanya nini eneo la polisi?
Hamna kazi za kufanya asubuhi?
mbona una roho mbaya kiasi hiki? Mambo unayoandika yanachochea hisia kali sana za kulipiza kisasi kwa watu kama nyinyi. Kama huna la kuandika soma tu, wala hutapungukiwa kitu. Unaboa sana na comment zako. Kama LEMA kawazidi ARUSHA kubalini tu yaishe kama àmbavyo CDM wamekubali ZANZIBAR. JIREKEBISHE MKUU