Kamuulize mkuu wa mkoa wa Arusha au Police waliomkamata,kiherere kingi kama mtotot wa kike
na wewe hujioni unakiherehere!
Acheni sheria ifanye kazi."makamanda wahini arusha"ili iweje. Who is lema by the way
Wamekuta mikanda mingine ya kigaidi?
Tunaomba updates na pia kama unajua sababu zozote za Llema kukamatwa
Naona umeji quote mwenyewe hivi una Id ngapi wewe Pimbi[/
bora kuwa pimbi wa kutetea haki za watu kuliko kuwa [bi--t---(ch) wa ccm
Tunaomba updates na pia kama unajua sababu zozote za Llema kukamatwa
Mkuu mi naona tutafute kwanza lema alifanya nini tupime ndipo tujue nani anarushiwa lawamaNadhani tunakosea sana kusema hii ni nchi yenye democrasia na amani wakati serikali yenyewe inachangia kupunguza amani na hii migogoro ya kisiasa... Mmmh! Mungu ibariki Tanzania..dumisha amani na umoja,wake kwa waume na watoto......
hili uzifanyie nini?
nakumbuka siku moja MBOWE akiwa mikoa ya Iringa na MBeya aliwaasa wana-CDM sasa kuachana na siasa za vurugu na kwamba wajiandae kuchukua nchi, mbona ni kama ndo vurugu zimezidi, wamekata tamaa ya kuchukua nchi?
Tamati ya lema kisiasa naiona yaja mbona haishi majanga sasa inataka kuwa tofauti na uheshimiwa.
hazikuhusu,tuachie sisi wanamapinduzi tuzipate!!