Mbunge Lema akamatwa na Polisi!

Mbunge Lema akamatwa na Polisi!

Labda Polisi wanatafuta njia kufuta ile sms ya mkuu wa mkoa.

gagnija nakubaliana na wewe,kosa wanalofanya ni kufikiri kila mtu anafikiri kama wao na wao ndiyo wanaakili kuliko wote......hata akidelete hiyo sms haitabadilisha matokeo
 
Juzi warir selina kombani akijibu swali bungeni alisema wakuu wa wilaya na mikoa ni wanasiasa na kwa dhati kabisa huyu mama angesema ni mikada watiifu wa ccm.
Hawa ni wakuu wa ulinzi na usalama wa wilaya na mikoa na polisi wa nchi hii ni kama mbwa tu,mwenye nyumba akisema kamata bila kuhoji kwa nini wanakimbia kwenda kukamata.
Polisi ni chombo cha kulinda usalama wa raia wote si wanachama wa chama flani iweje kiongozi wao awe mwanasiasa tena mwenye utii wa hali ya juu kwa chama?na je haya yanayotokea arusha yatakwisha kweli kwa mazingira haya?public service is no longer a public service but a political service.wanajeshi wote ni civil servants kwa mujibu wa maadili ya kazi yao ila hali ni yofaut kabsa,mungu yupo juu na sisi tunaamini hvo na yeye ni hakimu wa haki.
 
Yawezekana wanataka kumtengenezea ushahidi wa uongo kwenye simu, ipad na laptop waliyochukua. Au wanataka kufuta sms iliyotumwa na mkuu wa mkoa? Tutaona mengi ya kuudhi ili tuwe na hasira ya kutosha tutakapoamua.

wanatafuta zile clips za tukio lenyewe kumbe yegela alishaipeleka public so sad.wamepisha na pesa metropol wao wamezifuata njiro
 
Ukweli ni kwamba tukitaka hizi vurugu ziishe nilazima mungano kwanza' kwa mfano tukitaka chadema isimame nilazima tukubali kungana c khaguzi zijazo ili kumpigia kura ngombea ambaye atasimama kupgania haki ya chadema vinginevyo kila siku atkamatwa Lema kwa uonevu
 
gamba bibi yako!! mara kumi uniite gaidi kuliko kunipa jina gamba!!

mkuu sindano butu bahati mbaya sana bibi zangu wote walishatangulia mbele ya haki.......hilo jina unalotaka kuitwa ni lakimkakati ambao umeshindwa.
 
Upeo mdogo wa viongozi serikalini unatugharimu sana! Maaskari wa nchi yangu pia wanaupeo mdogo sana,is watu wa kureason out kabisa! Wanaloambiwa na wakubwa zao wanafuata kama makenge! Mwisho wa CCM utafika tu,hata kama wakiua chadema Wote,CCM haitobaki na nchi hii!

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Nilichogundua ni kwamba thread hii na JF kwa ujumla imevamiwa na kikundi kikubwa cha vijana wa CCM, na inaelekea wengi wao hawawezi kuchambua hoja zaidi ya kujua kufanya typing. Ni kazi kubwa sana kuendesha mijadala kwa style hii
Mkuu unafundua leo baada ya Lema kuwekwa ndani?
Acha unafiki, si unakumbuka alivyotamba kuwa huko Arusha kwa maamuzi ya ubunge wake ni yeye na Mungu tu wanaweza kuamua hatma yake?
Kwa mtu mwerevu anaweza kutambua kuwa umaarufu umeanza kuharibu kichwa cha mwenzenu huyu wa CHADEMA.
Na wale wa kundi lake walimshangilia sana licha ya kosa hilo kubwa.
Kujifananisha na Mungu kwa aina yoyote ile ni kimdhihaki Mwenyezi Mungu, na jibu wala halijachelwa.

Lema kaingia tundu dogo sana, na la kijinga.
 
Upeo mdogo wa
viongozi serikalini unatugharimu sana! Maaskari wa nchi yangu pia
wanaupeo mdogo sana,is watu wa kureason out kabisa! Wanaloambiwa na
wakubwa zao wanafuata kama makenge! Mwisho wa CCM utafika tu,hata kama
wakiua chadema Wote,CCM haitobaki na nchi hii!

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums

kale kawimbo ka serikali dhaifu na polisi dhaifu bado mnaendelea kukaimba na kuitikia kibwagizo chake?
 
huu mfumo wa vyama vingi ndo unaoaribu na hi ndio mbinu ya ccm kuua vyama pinzani lazima tuungane
 
mkuu sindano butu bahati mbaya sana bibi zangu wote walishatangulia mbele ya haki.......hilo jina unalotaka kuitwa ni lakimkakati ambao umeshindwa.

we ujanipata nilichokuwa namaanisha nini na nadhani uwezi kunielewa mpaka utolewe kichwani sumu ya MWIGULU NA POLISI!! Nakushauri uende kwa dr.slaa akutoe sumu
 
Mkuu wa mkoa wa Arusha Magessa Mulongo amesema kwamba Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema alifanya kile alichokuwa anakitafuta muda mrefu kuchochea wanafunzi wamzomee ili aaibike mbele ya wananchi anaowaongoza.

Mkuu huyo wa mkoa pia amesema kwamba anashangazwa na Lema kujificha na kama asingekuwa na kosa asingejificha.

Mkuu huyo wa mkoa ameongeza kwamba Lema anatakiwa kusaidia polisi kuhusu vurugu zilizotokea na akasema maelezo yake pia yanahitajika kabla ya hatma ya wanafunzi 13 wanaoshikiliwa kujulikana.

Pia Mulongo amekanusha kumtumia ujumbe wa vitisho Mbunge Lema na kusema kwamba hawezi kufanya hivyo.

Katika hali ya kukata tamaa mkuu huyo wa mkoa amesema'''Inatakiwa Lema abadilike jamani''''' Alisema kwa kifupi bila kufafanua.

Source:Mwananchi.
 
Back
Top Bottom