Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
Mktu umeweza kufuatilia mwanzo wa hili sakata then ndo uamue kuandika haya uliyoandika?
huuuuuuu upuuzi sana kazi yote atakayo ifanya kama aliraise profile ya ccm kwa asilimia 20 huyu mkuu wa mkoa ameipeleka negative kabisa kwa mkoa wa arusha ......hivi ndio vitu vinavyowapa sifa chadema bila sababu ......mkuu wa mkoa alishindwa nini kujishusha na kuwapa pole sema tunashughulikia .......haya mambo yalitokea na mtwara pia upuuzi kweli aiseee
Amekamatwa kwa hila za uchochezi wa wanafunzi, In-sighting, Interference of Police work, trying to distort the investigation of the killed student. Lema is just a super pain for Arusha and CDM. Hindering the RC to do his work and kuwachocheza wanafunzi kumfukuza RC . My take is that huyu Bwana Lema ni msiba mkubwa kwa hiki chama cha upinzani na maendeleo, Tunawaomba viongozi wa CDM to take control of this loose canon called lema and ensure that he doesn't destroy this wonderful opposition.
Muda huu wakazi wa Arusha wamekusanyika nje ya kituo cha polisi.Wamezuiliwa kuingia na wanazidi kuongezeka.
Kamanda Lema ataanza kuhojiwa muda sio Mrefu
mengi , Naamini CCM na watendaji wake serikalini, Wakuu wa mikoa ambao muda si mrefu hatutawataka wawepo maana umuhimu wao haupo. Hiki cheo hakina Job descriptions tofauti na ile ya kuwinda wapinzani na kuua democrasia ktk nchi yetu. Ni lazima Cheo hiki kifutwe maana ni cheo kilicho na malengo ya kisiasa cha kupeleka taarifa zenye kufitinisha ikulu. The new constitution should stipulate clearly the kinds of appointee by the presida. Kamwe hatutaijenga nchi kwa kutumia vyombo vya usalama, watawala wetu wasipobadirika kuna siku nchi hii moto utawaka na vyombo hivyo vya dola hakika havitaweza kuuzima. Ngoja tuone mwisho wa uongozi huu wa kutumia mabavu. "Kwani huyu mama wa CCM ilikuwa ni lazima ashinde ubunge ndo arusha itulie???, je huyu mama mbona anawatesa watu wa Arusha na watanzania kwa ujumla" Tatizo naona ni yule mama kipenzi cha watawala wa leo kukosekana bungeni wakti kiti chake kilikuwa kimeandaliwa tayari. CCM na Serikali yako waache watu wapumue, msiwatese hiyo, na wakichoka mtajuta....
Polisi kazi yao siyo uvamizi.. Polisi hawakuwa na jinsi. Bila shaka walikuwa wanasaka ushahidi juu ya 'udini' wa Rais kabla haujafika popote. Si rahisi kumtuhumu Rais na kubaki salama.. Alitakiwa ategemee kuwindwa.Kosa lake lilikuwa kuwapa 'leverage' ya kumpata.Na 'leverage' yenyewe ni mgomo wa IAA.Baada ya mabishano ya muda mrefu nyumbani kwa kada huyu na Mbunge wa Arusha mjini na uvamizi onevu wa Polisi wakati huu wa usiku; Mh. Lema amekubali kukamatwa na amechukuliwa na gari la polisi wakati huu na kupelekwa kituo kikuu cha polisi Arusha yaani Central Polisi.
Earlier by Emanzi:
Nenda ukanywe, ulasi, mambo hayo hayakuhusu kabisaaaa.Tunaomba updates na pia kama unajua sababu zozote za Llema kukamatwa
kwa kweli walio karibu na lema wanatakiwa wamuweke kitako na kumshauri kuhusu mwendo anaenda nao. siasa sio ugomvi na kutengeneza matatizo kila siku
kuna njia nyingi za kupita kufanya siasa. hii njia aliochagua inashangaza sana tena sana. mbona kuna wabunge wengi wa chadema na vyama vyengine hawabehave kama yy? hata wenziwe mwisho watamchoka