Mbunge Komba ashtakiwe

 

Ndio matokeo ya BONGO MUVIZ plus Nigerian. Unafikiri wakishapata zile illusions kwenye senema na wao hawatamani kuendesha magari na kutanua madiskoni?

Halafu mnaniambia Kanumba na wahuni wenzake wanastahili kupongezwa kwa kugawa ajira na kuinua vipaji. Ndio ajira zenyewe hizi za mtoto mdogo kwenda kulaliwa na mtu mwenye mtumbo wooote ule na umri wa baba yake? Poh!
 
Kumbe hili lizee ni bazazi kiasi hiki. Shame on him
 
Once upon a time people used to grow old gracefully , not anymore courtesy of VIAGRA.
 

Umenichosha bure, nimesoma mwanzo mwisho na sijaelewa ulichoandika. Memkwa.
 
Kama ni kweli sioni ajabu kwani mkoa anaooka watu wanaanza kuchapwa wakiwa wadogo sana, huko miaka 18 ni mzee, scrap.

Unaona ajabu hilo? kuna viongozi wanakaa na wake za watu kama wake zao na bado Watanzania wachache wanawafagilia na kuwaona hakuna kama wao.
 

Kati ya mwaka 2005 hadi 2006 nimemshuhudia akiingia kwenye guest moja iliyopo karibu na aliyokuwa Kijitonyama hostel ya UDSM. Rafiki yangu alikuwa anafanya kazi pale nami nilipokuwa naenda kumuona nilimshuhudia akiingia na watoto wa sekondari.

Nadhani ni rahisi kumpata, ukimuona yuko kwenye Tinted hasa kipindi kile akiwa anatumia Renge nyeusi.
 


hehehehehehehehehehehehehe

mtikisiko wa ubongo
 
Jitu silipendi lile! Jana limeongea pumba utafikiri mtoto mdogo! Saa ya ukombozi inakaribia!
 
Du kweli wazee wa leo wanaharibu hata vitoto kama hivi ni hatari sana mbele ya jamii na Mungu
 
Mimi sijawahi kuona anafanya nao mapenzi, bali namuona akiwa na watoto wa sekondari na pale ustawi wakipiga stori tu na kutaniana. Isitoshe pale safina kinyama huwa kuna bar na hotel so huwa wanaenda kula msosi na vinywaji na kuondoka zao.
 
Jitu silipendi lile! Jana limeongea pumba utafikiri mtoto mdogo! Saa ya ukombozi inakaribia!

Kaongea pumba? Membe anatolea ufafanuzi sasa hivi bungeni kuhusu alichoongea Komba, hususan kuhusu ndege ya malawi iliyoingia anga na upande wa Tanzania wa ziwa Nyasa. Ni kitu very sensitive na muhimu sana, bila kukiongea yeye ungekijuwa hicho?

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni. Hatujasikia mwandishi wala yeyote wa upinzani kuli ripoti hilo kitaifa.
 
Tatizo la baadhi ya dada zetu, they r addicted to big fish n' Anacondaz....
 
Kama ni hivyo kifo cha msanii wetu S.C.K nani kamuua? isije ikawa alikuwa anakula mali za wakubwa huyu
R.I.P Kanumba
 

Yei yei yei.....!!! Hizi ni tuhuma nzito sana.
 
kweli kama yule mtoto kaweza kumbemba yule mzee kifuani basi dogo ni mashine zaidi ya trekta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…