Ni nzuri lakini si mahali pake. Nadhani hii ingekuwa mada nyingine jamani, mbona tunachanganya mada?smh!! Hawa ndio watunga sera wa tanzania. TaFakaRi.
Acha UchuroKesho keshokutwa utaskia parapandaaaaaaa
yes!
si vyema kufanyia mzaha matatizo ya mtu...sote sie ni wagonjwa watarajiwa.
Acha Uchuro
Duh,asiamke tu ili nijiandae kugombea,....
bahati ilyoje ijumaa hii
Kwani hujui vitu maalum huwa wanatumwa na nani.tumuombee afya yake iimarike ili awawakilishe vema walio mtuma
Hajalala ila anafikiria hivi kwa nini Mbowe anataka sitting allowance zifutwe?
Jamani huyo Mwanahamisi sijui nani ni mbunge wa wapi?
Mwanahamis Said wa viti maalum (CCM) kutoka Chakechake Pemba
mfano akifa tutapata hasara gani????????Mwanahamis Said wa viti maalum (CCM) kutoka Chakechake Pemba
Huyu hakulala anatafakari tu. Mnakumbuka msemo "ukiona kobe kainama anatunga sheria?". Basi bungeni ukiona mbunge wa sisiemu kainama "sio kulala) huwa anatutungia sheria.Hajalala ila anafikiria hivi kwa nini Mbowe anataka sitting allowance zifutwe?
mfano akifa tutapata hasara gani????????
Mbona mnakuwa wakali sana mkitajiwa kifo.hivi wewe kichwani zimo kweli?
kwani wewe ukifa wao watapata hasara gani?
tujali utu jamani