Mbunge kaugua ghafla

Hujatumalizia ile hadithi yako ya Saanaane huko Nairobi enhe ikawaje................

Si kuna thread nilianzisha mods wameitoa?wako makini kumlinda Dikteta wenu wa huko chagga mafioso Declpmnt...anekuwa Nape nnauye ingeondolewa?mods acheni kuwalinda hawa madikteta wa cdm....
 
Alikuwa amekaa tu wakati mbunge wa njombe alikuwa akichangia hoja,pamoja na yote mbunge huyo hakucheza fair play aliendelea kuongea mpaka m'kiti alipomsimamisha kuongea na haikutosha jamaa aliadai muda wake utunze
Duh huyu mbunge naye yaani kinacho matter kwake ni muda kuliko uzima wa mwenzake sasa anadai muda wake utunzwe hadi lini atakapopona.
 
Natoa pole sana kwa mama huyu. Ana umri gani kuna anayejua umri wake? Ni ugonjwa ama ni umri?
 
wasira hongera kwa kuuchapaaaaaaa usingizi ndio ulitumwa ukafanye hayo bungeni??????????????????????????????????
 
quote_icon.png
By TUKUTUKU
O.k huyu atakuwa mbunge wa mchamba wima!!
nshamwambia invizibo

report-40b.png
Mbona hiyo sehemu ipo inaitwa Mchamba wima
 
Back
Top Bottom