SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
Kama ni wa magamba atakuwa ameambukizwa ugonjwa huo na mkulu wao.
Mwanahamisi kassim said
Wabunge washangiliaji.kaka a u siriaz?? Atakuwa wa viti maalum
Yupo HospitaliniAgggr,kwanini wasingekua wenye matumbo makubwa wale bana,...
kaamka au tuanze kutoa pole?
smh!! Hawa ndio watunga sera wa tanzania. TaFakaRi.
Hujatumalizia ile hadithi yako ya Saanaane huko Nairobi enhe ikawaje................
Nahisi atakua ni mbunge wa CCM maana ndio wabunge wanaoongoza kwa kuanguka ovyo akiongozwa na mwenyekiti wao!
Aaaaah!kumbe alikuwa babu!!kama ni huyu hii ndiyo kawaida yake!!
Duh huyu mbunge naye yaani kinacho matter kwake ni muda kuliko uzima wa mwenzake sasa anadai muda wake utunzwe hadi lini atakapopona.Alikuwa amekaa tu wakati mbunge wa njombe alikuwa akichangia hoja,pamoja na yote mbunge huyo hakucheza fair play aliendelea kuongea mpaka m'kiti alipomsimamisha kuongea na haikutosha jamaa aliadai muda wake utunze
Na bado analipwa posho chungu nzima ya kuuchapa usingizi bungeni! Kaazi kweli kweli!
Mbona hiyo sehemu ipo inaitwa Mchamba wimanshamwambia invizibo