Ipi dot com
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 301
- 113
Kuna mbunge mwanamke kaanguka gafla bungeni bado hajafahamika jina
Nami nimeona hyo vurugu yake. Waliopo bungeni watutaarifu
mkuu. Parapandaaaa ndio kusema ku..!??Kesho keshokutwa utaskia parapandaaaaaaa
dah sijui!, icje kuwa ame kolimbwa!.Kesho keshokutwa utaskia parapandaaaaaaa
Kesho keshokutwa utaskia parapandaaaaaaa
Atakuwa wa CCM kutoka Pemba.mbunge wa wap na chama kipi i???
haijafahamika mara moja ni wa chama gani, tbc hawajamuoneshaNi wa chama gani na anaitwa nani?