Au usijekuta ni kadikteta Kenu Saanane kanatafuta uchaguzi mdogo kwa nguvu,manake kenyewe ni kaumini kakubwa ka assassination hasa pale kanapotaka kitu/madaraka...kamechinjiwa baharini uenyekiti wa bavicha ninavyokajua katakuwa kanatafuta chaguzi ndogo,nasikia kuna siku kalionekana na Deus mallya makao makuu ya chadema.Chama cha Demokrasia-Mafioso(Chadema)