Bawabu wa pili
Senior Member
- Nov 14, 2025
- 147
- 432
Mbunge wa Jimbo la Mwibara (CCM), Kangi Lugola amesema ni vyema mihimili ya serikali iwe huru ili iweze kufanya kazi zake kwa usahihi bila kuingiliwa.
Soma pia: Vyombo vya Dola na taasisi nyingi zianitaji Kukombolewa na Wananchi ikiwepo mihimili Bunge na Mahakama Wananchi tuvikomboe virudi kua Mali ya Umma
Ameyasema hayo leo Januari 29, 2026 wakati akizungumza bungeni na kueleza kuwa mihimili hiyo ikiwa huru kazi zitafanya kazi zake kwa usahihi.
"Mihimili ya dola Mahakama, Bunge pamoja na serikali inakuwa ni mihimili iliyo huru. Bunge liwe huru leo tukiletewa taarifa ya CAG(Mkaguzi Mkuu na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali) kwa mfano lazima tuijadili kwa uhuru kwa upana" amesema Kangi
Ameongeza kuwa "Mahakama iwe huru wapelekewe watu ambao wamefanya uhalifu watendewe haki za kuhukumiwa. Vyombo vya dola na vyenyewe viwe huru" ameongeza Kangi.
Soma pia: Vyombo vya Dola na taasisi nyingi zianitaji Kukombolewa na Wananchi ikiwepo mihimili Bunge na Mahakama Wananchi tuvikomboe virudi kua Mali ya Umma
Ameyasema hayo leo Januari 29, 2026 wakati akizungumza bungeni na kueleza kuwa mihimili hiyo ikiwa huru kazi zitafanya kazi zake kwa usahihi.
"Mihimili ya dola Mahakama, Bunge pamoja na serikali inakuwa ni mihimili iliyo huru. Bunge liwe huru leo tukiletewa taarifa ya CAG(Mkaguzi Mkuu na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali) kwa mfano lazima tuijadili kwa uhuru kwa upana" amesema Kangi
Ameongeza kuwa "Mahakama iwe huru wapelekewe watu ambao wamefanya uhalifu watendewe haki za kuhukumiwa. Vyombo vya dola na vyenyewe viwe huru" ameongeza Kangi.