Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,822
- 15,056
Mbunge wa Jimbo la Kiembesamaki Zanzibar, Ibrahim Raza amepata ajali Ya Kuangukiwa Na Tawi la Mti Wa Muembe.
Kaangukiwa na mti maeneo ya Ngalawa Hotel iliyopo Bububu Zanzibar. Gari yake ndo iloumia mwenyewe Yuko vizuri ila kapata mshutko tu. Walikuwa katika mkutano.
Stay tuned
Kaangukiwa na mti maeneo ya Ngalawa Hotel iliyopo Bububu Zanzibar. Gari yake ndo iloumia mwenyewe Yuko vizuri ila kapata mshutko tu. Walikuwa katika mkutano.
Stay tuned