The Elephant
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 4,345
- 4,608
Kwa comments kama hizi tume huru ya uchaguzi tutaisikia Kenya na Malawi tu..
Kwa comments kama hizi tume huru ya uchaguzi tutaisikia Kenya na Malawi tu..
Kama yeye hakuwepo ndani ya gari huo mshituko mpk kulazwa hivyo unatokea wapi?
Huyu mbunge mayai sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameshtuka tu kuacha utamuu wooote huu wa dunia na vyeo vya wizi ndani ya ccmMbn hana hata dripu ya maji?
Ilikuwa inakula upepo na kivuli chini ya mti.
Mbona deen inaruhusu kisasi?
Pembe la ng'ombe halifichiki ndio asili yake🎼🎤🎸