Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,972
- 30,154
......inabidi ujipangeUkitaka kuua nyoka....
......inabidi ujipangeUkitaka kuua nyoka....
ya nini mazungumzo wakati nia ya cdm ni kuizuia serikali yenye ridhaa kutekeleza manifesto yake.Hivi kwa mwendo huu kuna haja ya mazungumzo?
Kumbe usugu ulianza zamaniHuwezi mnyamazisha mtu kwa kumuweka mahabusu hata siku moja labda awe hajawahi kaa kwa sisi wengine ambao tumeingia huko toka tukiwa darasa la 5 si kwa kushangaa..watafute suluhisho
Mimi haki zangu zimeoanishwa kwenye Katiba ya JMT. Nikiminywa hiyo haki najua pa kuipata Kikatiba na siyo kwenye maandamano au mikutano.Wakatafute majambazi sio watu wanaopigani haki zetu
Umewahi ingia mahabusu na kupewa kibao au unasimuliwa tu? Vyombo vya dola ni pamoja na polisi,wapelelezi na special...
Niliuliza swali hilo pia!Hii nchi sijui tunaelekea wapi
Mungu atusaidie tu
kwahio unataka kusemaje? SijakuelewaMimi haki zangu zimeoanishwa kwenye Katiba ya JMT. Nikiminywa hiyo haki najua pa kuipata Kikatiba na siyo kwenye maandamano au mikutano.
Hao wanaohamasisha hiyo wanatafuta umaarufu wa kisiasa kupitia upumbavu na ulofa wako.
TAFAKARI CHUKUA HATUA
Tatizo najibizana na mtu ambaye hajawahi ingia hata mahabusu ndomana ni rahisi kusema ataongea tu..jaribu siku yake kuna watu huwa wanaminywa hadi mananii lakini anakisimamia kile anachokiaminiExactly my point. Si analilia haki ya kuongea? Huko ndiko ataongea vizuri.
Hiyo haikuhusuKumbe usugu ulianza zamani
Tatizo najibizana na mtu ambaye hajawahi ingia hata mahabusu ndomana ni rahisi kusema ataongea tu..jaribu siku yake kuna watu huwa wanaminywa hadi mananii lakini anakisimamia kile anachokiamini
We are heading North, do you know where it is?Where are we heading Tanzania ???
Ndiyo maana tunataka mchunguzwe ndani yenu kuna kitu mtu kuanzia darasa la tano umeanza kulala lockup?Hiyo haikuhusu
Hivi kwa mwendo huu kuna haja ya mazungumzo?
Kwa akili yako unadhani ataongea nini?Safari hii ataongea tu na ataongea vizuri sana.