Mbunge Godbless Lema akamatwa na polisi

Mbunge Godbless Lema akamatwa na polisi

Watu wengne bhana,tatzo la vyama flani vya siasa wanafikiri kupelekwa rumande au kushikwa na polisi ndo nembo ya kua mwanachama bora
Taja chama siyo unabinua midomo kama Mwajuma..tunawaelekeza kuwa polisi au mahabusu si sehemu ya kumnyamazisha mtu asuongee ukweli labda mmbambikizie kesi atupwe jela
 
Mazungumzo yepi ambayo we unayataka labda? Ivi nikuulize swali ukifa katika maandamano ya UKUTA unaenda PEPONI au? Ebu tutumie akili kufanya mambo haya... Jiulize Mboe na Lowassa wanakuja kuandamana? Na je familia zao i,e watoto wao watakuwepo..? Kisha ukipata jibu nenda kapokee kichapo...
Hivi kabla hujapost kitu think on it b4 releasing it to the public.kufa kupo ufe kwenye ukahaba,ufe kanisani kufa ni kufa.chadema wanatekeleza kilichopo ndani ya katiba huyo si aliapa kulinda katiba mbona leo hii anakikwepa.mwezi Jana Kenya walifanyaje? Mpaka tume ikavunjwa.kwani raila aliyeitisha maandamano ni raisi ?but kupitia nguvu ya umaa si serikali imekubali,hakuna sifa atakayopata rais kwa kuua wananchi wanaodai haki yao.
 
Mazungumzo yepi ambayo we unayataka labda? Ivi nikuulize swali ukifa katika maandamano ya UKUTA unaenda PEPONI au? Ebu tutumie akili kufanya mambo haya... Jiulize Mboe na Lowassa wanakuja kuandamana? Na je familia zao i,e watoto wao watakuwepo..? Kisha ukipata jibu nenda kapokee kichapo...
Kwa mawazo yako kama si yenu maaskari kazi yao ni kupiga na kuua tu ?!. Hawana uweledi wa kuzuia maandamano ?!
 
Thubutu uone kichapo
Na huu ndio uthibitisho kwamba ccm mmeishiwa. Wenzenu wanashindana na nyie kwa hoja...nyie badala ya kujibu kwa hoja mnajificha nyuma ya polisi. Useless!

Ujue kuna watu walikua hawana hata mpango wa kuandamana lakini kwa kuona haya mnayoyafanya na wao watajiunga? Maana mnachofanya ni kuthibitisha tuhuma za udikteta uchwara walizotoa chadema
 
Taja chama siyo unabinua midomo kama Mwajuma..tunawaelekeza kuwa polisi au mahabusu si sehemu ya kumnyamazisha mtu asuongee ukweli labda mmbambikizie kesi atupwe jela
Kwanza akitupwa jela kwa kesi ya kubambikiza ndio wanamwaga petroli kwenye moto. Au umesahau ya Mandela mkuu?
 
Serikali inaendelea kupuyanga
Tuwe wakweli na kutanguliza uzalendo kwa kujiuliza nani yuko sahihi kwa mstakabali wa nchi hii
1)serikali inayoendelea kupuyanga - unavyosema wewe 'bervone1'?

Au

2) viongozi wa CHADEMA, wanaohamasisha maandamano yenye kila harufu ya uchochezi?

KUPANGA NI KUCHAGUA
 
Ndani ya muda wa nusu nitakuwa hapo kituo kujua nini kinaendelea kuhusu Mbunge wetu watu wamekuwa hofu sana sijui kuna nini . Lema tuna imani naye hajawahi kushindwa katika kutetea haki siku zote
Hatuwezi kurudi nyuma daima #UKUTA.
tutashukuru kamanda
 
Endeleeni kushangilia huu mvutano. Hii nchi ikiwaka viongozi wakuu wa vyama na serikali watapanda ndege haoo. Halafu wewe na jamaa yako mbaki mnataabika. Watanzania tumekuwa wa ajabu kama misukule ya wanasiasa.

Mungu ibariki Tanzania
 
Endeleeni kushangilia huu mvutano. Hii nchi ikiwaka viongozi wakuu wa vyama na serikali watapanda ndege haoo. Halafu wewe na jamaa yako mbaki mnataabika. Watanzania tumekuwa wa ajabu kama misukule ya wanasiasa.

Mungu ibariki Tanzania
"Those who would give up essential liberty, to purchase a little temporary safety, deserve neither liberty nor safety" Benjamin Franklin
 
Jela za TZ hazikupi uhuru wa kufanya harakati zako ukiwa ndani ni tofauti na SA
Mkuu hivi unadhani Mandela na ANC walifanikiwa kwasababu makaburu walimpa mandela "uhuru wa kufanya harakati"? ilikua ni juhudi za ANC na marafiki kama wakina nyerere waliofanya harakati mpaka dunia ikasikia na kuanza kuwawekea vikwazo makaburu. Siku ukipata nafasi jaribu kwenda kutembelea kisiwa cha robben kule cape town alipofungwa mandela..ndio utajua ninachosema.
 
Back
Top Bottom