Mbunge Godbless Lema akamatwa na polisi

Mbunge Godbless Lema akamatwa na polisi

Nyooooo, nani kawambi, kwa taarifa yako, kama uchaguzi ungeitishwa leo, Magu anazo asilimia zaidi ya 90.
 
Ninachokiona mbeleni ni *KIBAYA* sana...
Hakuna chochote kibaya mbeleni ni kazi Ya upinzani kupingana na serikali kwenye nchi yeyote duniani yenye demokrasi ya ukweli tatizo demokrasia yetu bado changa hivyo wapinzani kukamatwa ni jambo la kawaida pale serikali inapodhani kuna siasa zitakazoleta madhara,ni jambo la kawaida sana.amani kwanza siasa baadaye.
 
Hii ya kukamata viongozi wetu itatufanya tuanze maandamano kabla ya tar 1
1472230374768.jpg
[emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75] [emoji75]
 
Nyooooo, nani kawambi, kwa taarifa yako, kama uchaguzi ungeitishwa leo, Magu anazo asilimia zaidi ya 90.

Ni kweli na tena tume ya uchaguzi inavyomuogopa naona atapata asilimia 100 kabisa kama kwenye uchaguzi wa ccm uliompa uenyekiti.
 
Nyooooo, nani kawambi, kwa taarifa yako, kama uchaguzi ungeitishwa leo, Magu anazo asilimia zaidi ya 90.
Hii lugha kama ya akina mama wakiwa barazani wanapiga umbeya
 
Frankly speaking, by now the political game is not in favor of the opposition wing. You don't need an aided eye to see this. 9 in every 10 of those who voted for opposition are regretting of why they missed a point to vote for HAPA KAZI TU? However as a balanced commentator, I am grateful to the opposition wing, they did a great job which made the ruling part think twice of who could best stand the test of opposition. Well done, HAPA KAZI is your product which you should be proud with. Support him, and wait for 2020 but along the way with close by watch to see if the viwanda are coming out or not. If not, then you have a point to make I guess.
 
Anayetaka mazungumzo ni nani????? Nyie mfanye fujo na wakati huo mtake mazungumzo??????!!!!
Naomba nijue kiongozi ukisema nyie unatefer kina nani na wewe unajiweka kundi lipj hapa?
 
Back
Top Bottom