Mbunge Godbless Lema akamatwa na polisi

Mbunge Godbless Lema akamatwa na polisi

Nalipongeza jeshi la polisi.
Halafu mnauliza ni kwanini raia wanalichukia jeshi la polisi? Hivi kama polisi walimhitaji Lema walishindwa kumpigia simu aripoti kituoni? Kulikua na haja gani kwenda usiku usiku kana kwamba wanaenda kumkamata bin laden? Wapiga kura wake hapo arusha na wafuasi wake nchi nzima wakiona huo uonevu unategemea watakua na mahaba na polisi?
 
Habari zilizotufikia hivi punde ni kuwa Askari Polisi walivamia nyumbani kwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mh Godbless Lema alfajiri ya leo na kumkamata.
Hivi sasa yupo central police ya Arusha.

Sababu za kukamatwa kwake haijajulikana bado....


Tutawajuza kila kitakachokuwa kinajiri
hayo ndo yaliyompeleka mkuu wa mkoa Arusha,anafuata maelekezo ya mkuu,hao ndo mkuu anawahitaji,tutaona mwisho wake ila angejifunza kwa Mulongo Magesa,duniani bana tunapita,leo uko pale ila kesho hujui utakuwa wapi
 
Have never seen akind of government like this in my life.kumbe mtu kama hajapata anakuwa muunguana mtiifu lakini akishapata duuh,MH.zile sera zote kuwa we ni mpenzi wa mungu ndo haya? Icant believe this.
 
Habari zilizotufikia hivi punde ni kuwa Askari Polisi walivamia nyumbani kwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mh Godbless Lema alfajiri ya leo na kumkamata.
Hivi sasa yupo central police ya Arusha.

Sababu za kukamatwa kwake haijajulikana bado....


Tutawajuza kila kitakachokuwa kinajiri
labda ni ile mambo ya magari
 
Hii imekua too much. Hii serikali sasa inafanya ata mwananchi asiye na chama akaenda kusupport ukawa. Laiti wangeyajua ya mtaani wangejipendekeza kwa wananchi
 
Halafu mnauliza ni kwanini raia wanalichukia jeshi la polisi? Hivi kama polisi walimhitaji Lema walishindwa kumpigia simu aripoti kituoni? Kulikua na haja gani kwenda usiku usiku kana kwamba wanaenda kumkamata bin laden? Wapiga kura wake hapo arusha na wafuasi wake nchi nzima wakiona huo uonevu unategemea watakua na mahaba na polisi?
Halafu mnauliza ni kwanini raia wanalichukia jeshi la polisi? Hivi kama polisi walimhitaji Lema walishindwa kumpigia simu aripoti kituoni? Kulikua na haja gani kwenda usiku usiku kana kwamba wanaenda kumkamata bin laden? Wapiga kura wake hapo arusha na wafuasi wake nchi nzima wakiona huo uonevu unategemea watakua na mahaba na polisi?
Ni raia wachache wanao lichukia jeshi la polisi
Tena wanywa viroba
 
Ni raia wachache wanao lichukia jeshi la polisi
Tena wanywa viroba
Hivi unadhani polisi wangekua wanahaha na kufanya magwaride ya uswahilini nchi nzima kwasababu ya "raia wachache"? Acha kujipaka mafuta kwa mgongo wa chupa mkuu.
 
Hii imekua too much. Hii serikali sasa inafanya ata mwananchi asiye na chama akaenda kusupport ukawa. Laiti wangeyajua ya mtaani wangejipendekeza kwa wananchi
Hawayajui intelejensia ya kutambua hayo hakuna kwa sasa intelejensia inatambua vyama vya upinzani (They put on a deaf ears)
 
Sivyo.Lkn kwa sababu nchi hii hakipo chama pinzani makini bado CCM Chakii wataendelea kuongoza tu hadi hapo wapinzani wa kweli watapopatikana.Kinachotufanya(Baadhi yetu)tusiwaamini no huko kushindwa kwenu kusimamia hoja na takarashi zenu!Hilo ni tatizo kubwa.Hamjajipanga kimkakati na ki-sera pia.Itoshe kusema,ninyi bado ni GENGE fulani la watamanio madaraka na si uongozi.JIPANGENI na hasa punguzeni UTOTO.
Hapo unachojaribu kusema -japo labda haujajua - ni kuwa wananchi wa Tanzania hawajafika kiwango cha ustaarabu, haki na ustawi unaotakiwa. Kwa maana mabadiliko yoyote huletwa na watu, na maendeleo ya namna yoyote huanzia kichwani kama wazo.
 
Back
Top Bottom