sungusungu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 3,057
- 722
Lema amefanya kosa gani? Mtoa post hebu weka wazi
Badilisha watanzania andika chadema.
Watu wengne bhana,tatzo la vyama flani vya siasa wanafikiri kupelekwa rumande au kushikwa na polisi ndo nembo ya kua mwanachama boraHuwezi mnyamazisha mtu kwa kumuweka mahabusu hata siku moja labda awe hajawahi kaa kwa sisi wengine ambao tumeingia huko toka tukiwa darasa la 5 si kwa kushangaa..watafute suluhisho
Hilo nalo ni kosa?Bananga aliyewekwa ndani siku tatu kwa kosa la kusema
"huwezi angusha ukuta bila 'kuushika ukuta' ""
Hili kosa hata mafundi mason lazma watawekwa ndanii
Kakuambia weka neutral ground uone ukweli. Sio kutamba wakati taasisi za kutoa haki mmezificha mifukoni mwenu.Kwa chama kipi hasa cha upinzani!?