Hivi kwa mwendo huu kuna haja ya mazungumzo?
Badilisha watanzania andika chadema.Watanzania wanajutia maamuzi ya Uchaguzi mkuu 2015
Atakuwa kahusika. Maana inaonekana chadema wamehusika ktk kutafuta sare ili askari wao fake waue waandamanaji na baadaye wapige picha na kuipelekea ile NGO yao ya haki zabinaadamHabari zilizotufikia hivi punde ni kuwa Askari Polisi walivamia nyumbani kwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mh Godbless Lema alfajiri ya leo na kumkamata.
Hivi sasa yupo central police ya Arusha.
Sababu za kukamatwa kwake haijajulikana bado....
Tutawajuza kila kitakachokuwa kinajiri
Ccm...Badilisha watanzania andika chadema.
Hiyo hadhi ya kuzungumza na JPM kwanza huna!Na hana mda mchafu km huo.Hivi kwa mwendo huu kuna haja ya mazungumzo?
Haya, umeridhikaCcm...
BadoHaya, umeridhika
Akamatwe atiwe adabu...
Watanzania wanajutia maamuzi ya Uchaguzi mkuu 2015
Hadi hapo ccm itakapo waachia akili zao! Ndiyo watafikiria nje ya box, halafu polis wanatumika kisiasa ndiyo maana ufanisi wa hili jeshi letu la polis utendaji ni ziro!Hivi mbunge akiitwa kuripoti Polisi atakimbia?
Halafu bado kuna mtu anadhani watu watakuwa na imani na cops?
Mimi binafsi ningekuwa Polisi ni majambazi tu ndio ningekuwa nayakamata kwa ambush, watu wengine ni wakuandikiwa tu wito wa kuitwa polisi au kiwaita kwa simu na wanajisalimisha wenyewe.
Waziri Mwigulu Nchemba amewataka wauwaji waliouwa Polisi wetu wanne wajisalimishe, sasa napata shida kidogo kwa mbunge kutopewa fursa hiyo ya kujisalimisha.
Polisi maboresho: msitishe raia wema wanaotumia social network bali someni michango ya raia wema humu itawasaidia sana kuwa na jeshi la Polisi la kisasa ambalo litakuwa ni PT Pride.
Kama maguvu yanalipa basi sehemu ya kwanza kufanikiwa ingekuwa ni Israel na Palestine conflict.
Kwa kosa gani?Akamatwe atiwe adabu...
Sawa.Bado
Mazungumzo ya nini na haoHivi kwa mwendo huu kuna haja ya mazungumzo?