kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,574
Ndo katoa vile virikuu?Mbunge wa Same Magharibi Mh David Mathayo amekabidhi magari ya wagonjwa kwa kila kata katika jimbo lake.
Mathayo amesema magaru hayo imara sana ameyanunua yeye mwenyewe ili kuwasaidia wapiga kura wake na hasa akina mama ukizingatia Same ni eneo lenye milima.
Source: Upendo TV
Maendeleo hayana vyama!