Mbunge Charles Mwijage ni hatari sana

Mbunge Charles Mwijage ni hatari sana

Kanombe

Senior Member
Joined
Jan 26, 2014
Posts
103
Reaction score
48
Heshima kwenu
nimekuwa nikifuatlia mikutano ya bunge hasa Wizara ya Madini na Fedha join hii, nimegundua kuwa mhe Mwijage nae ni miongoni mwa Tunu za Taifa...Mara zote michango yake inalenga kuboresha mambo akijitofautisha na wanafiki wengine

Jioni ya leo katika finance bill ameeleza namna ambayo Waziri Mkuya anaelekea kutupeleka kwenye economic crisis soon kwenye issue ya uagizaji mafuta

mhe mbunge ubarikiwe sana
 
Ni mweledi sana wa mambo. Hapigi siasa anaeleza facts.
 
Hii jamaa inafaa sana mambo anaweza kusaidia taifa hili pia cyo mchoyo kwa taaluma anazozijuwa
 
Mi cjamwelewa aliposema vijana waendewakajifunze kutoka kwake juu ya nini wadau. Ila jamaa anaijua sana iyo sekta
 
huyu jamaa ni kichwa kweli kwanini asiwekwe ktk kamati maalumu ushauri ktk maswala ya mafuta//but ingawa yupo ccm viongozi walio wengi waandamizi hawawezi kumpenda katu why?b'cause sio mtu ujanja ujanja au hana asili ya usanii usanii
 
huyu ndio angepewa ku head BRN, Lakini Kikwete anaogopa sana watu kama hawa, hawachelewi kukataa maelekezo.
 
Mi cjamwelewa aliposema vijana waendewakajifunze kutoka kwake juu ya nini wadau. Ila jamaa anaijua sana iyo sekta

Niliwahi kuchungulia CV yake, Niliona amebobea sana katika mambo ya mafuta. Kuna kipindi alikuwa anaandika sana makala za kitaalamu kuhusu mafuta katika gazeti la Raia Mwema.
Ila the way anavyochangia pamoja na weledi katika issue za mafuta naona kama anajipigia debe nae wamuone na kumfikiria kwenye cheo fulani.
 
6]Mi cjamwelewa aliposema vijana waendewakajifunze kutoka kwake juu ya nini wadau. Anamaanisha watu wanaofanya kazi TRA EWURA hazina plus bandani ili akawape utaalam....jamaa ni mweledi sana sana
 
Ila hakuleta ile report ya matatizoya Mtwara. Yeye alikuwa mwenyekiti baada ya tume kumaliza kazisikuona akirudi kutoa lichofanyaau alichokiona. Ila huyo jamaa ni kichwa sana ingwa yuko kwenye chama kibaya
 
huyu jamaa ni kichwa kweli kwanini asiwekwe ktk kamati maalumu ushauri ktk maswala ya mafuta//but ingawa yupo ccm viongozi walio wengi waandamizi hawawezi kumpenda katu why?b'cause sio mtu ujanja ujanja au hana asili ya usanii usanii

Kweli tupu, jamaa yuko vizuri.
 
huyu mchangiaji wa sasa anarudia yaleyale..chombo hana jipy kabisa
 
Heshima kwenu
nimekuwa nikifuatlia mikutano ya bunge hasa Wizara ya Madini na Fedha join hii, nimegundua kuwa mhe Mwijage nae ni miongoni mwa Tunu za Taifa...Mara zote michango yake inalenga kuboresha mambo akijitofautisha na wanafiki wengine

Jioni ya leo katika finance bill ameeleza namna ambayo Waziri Mkuya anaelekea kutupeleka kwenye economic crisis soon kwenye issue ya uagizaji mafuta

mhe mbunge ubarikiwe sana

Pumba tupu hizi
 
Huyu chombo ni mtu wa hajabu!hajielewi hata kidogo.......
Anasoma ameandikiwa
 
Huyo chombo anatafuta nafasi ya japo kuonekana ikitokea mgao mwingine basi nae apate shavu....
 
Back
Top Bottom