Matabaka yako tu ila kuliko Mahabusu ateseke wakati anauwezo wa kuja na godoro lake ni mbayaKwahiyo godoro utarudi nalo ukimaliza kifungo?
Je, huoni kuwa unatengeneza matabaka ?
Serikali inapaswa kuwahudumia wafungwa kwa kila kitu na si vinginevyo.
kweli kabisa,wengine tunafikiri Magereza ni kwa wao na aslani hayatuhusu sisi,Kazi ipo