Wakati anagombea Ubunge alificha kazi yake ya awali na kujifanya hotelier!
Mkuu kuuliza sio ujinga, jimbo lake linapatikana mkoa gani?
mie namjua vizuri. alikuwa mtumishi wa ndani ikulu. Ana deploma ya hotel management
Huyu alikuwa mhudumu wa ndege za Serikali, aliwaleta Makoma bila idhini ya Ikulu, akatolewa ndege za Serikali
na kuwekwa benchi Ikulu. Wakati anagombea Ubunge alificha kazi yake ya awali na kujifanya hotelier!
Ahsante kwa Ufafanuzi mzuri East Africa, kikubwa kwangu ni wapi alikuwa kabla ya Ubunge wa Nkenge enzi hizo akipiga panki la Nguvu!Hivi unajua maana ya AIR HOSTESS?
Ngoja nikupe tafsri Akikuletea Chakula kwenye ndege Kwenye kiti ulipokaa ni HOTELIER.Ndege zina hotel za kuhudumia wateja kwa chakula.Kile chakula hujui kuwa kinatokea rstaurant ya kwenye ndege? Kujiita hotelier kakosea nini.
AIRHOSTESS akikuletea pombe pale kwenye kiti ulipokaa ujue huyo ni BAR MAID wa kwenye ndege.Tofauti ya bar maid wa uwanja wa fisi na yule wa kwenye ndege ni maeneo yao ya kazi.Yule mwingine ni bar maid angani wakati huyo mwingine ni bar maid uwanja wa fisi.
Kwa kuwa mnalingana kifikra lazima utamwelewa! Kama usingemwelewa ningeshangaa sana ati!!
Japokuwa huyu mama anajiita mlokole nahisi hata hajui maana ya ulokole inawezekana hata huko jimboni kwake alipita kwa hongo.Haa haa, huyu mama hakupaswa kuwepo bungeni bali kwenye kijiwe cha mipasho, ila binafsi nimeupenda huo mwanya katikati ya meno yake weweeee..
Unaijua siri ya wanawake wenye mwanya?Haa haa, huyu mama hakupaswa kuwepo bungeni bali kwenye kijiwe cha mipasho, ila binafsi nimeupenda huo mwanya katikati ya meno yake weweeee..
Jimbo liko wazi kabisa, Nkenge kuna wasomi wa kada zote,mapro,wachumi, wansheria, wakulima wafanya biashara wazuri tu, wasomi wa kati wenye uelewa tu, sijui kwa nini hawajatutendea haki kuleta mbunge kama huyu, chonde chonde mbunge kama huyu hastaiki kuwawakilisha nshomile hadi makerere,,hdi form six ni aibu AIBU AIBU
ASSUMPTER NSHUNJU MSHAMA
![]()
Member of Parliament CV
*************************************************************
Salutation Honourable First Name: Assumpter Middle Name: Nshunju Last Name: Mshama Member Type: Constituency Member Constituent: Nkenge Political Party: CCM Office Location: Box 64, Kyaka. 21494, Dar Es Salaam Office Phone: +255 783 852736/+255 752 131913 Ext.: Office Fax: Office E-mail: amshama@parliament.go.tz Member Status: Current Member Date of Birth
[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL [/TH]
Huyu mama nilimsikiliza jana nikashindwa kuelewa alikuwa anasema kitu gani.
Imebidi niingie kwenye wavuti wa bunge na nilichopata ni cv yake ambayo hajui hata alizaliwa lini.
Ofice zake anasema zipo Kyaka, Dar es Salaam, Jamani Kyaka ipo sehemu gani hapa Dar.
Huyu mama ni mtupu ni mtupu kichwani hakuna kitu, nadhani ccm walimtoa mirembe wakamchukua kwa vituko vyake, nawaomba wamrudishe akamalize tiba.
Ni aibu kuwa nami natokea jimbo la Nkenge.... (Naomba mtusamehe)... tulifumba macho akapeleka matofari na michanga akidai anajenga shule, akawahadaa akina mama na SACCOS hewa .... Mkakati uko mekoni mwaka kesho. Kuhusu ULOKOLE nasikia alimporomoshea matusi Padri wa Parokia Ya Bugombe nao wanamsubiri...
Japokuwa huyu mama anajiita mlokole nahisi hata hajui maana ya ulokole inawezekana hata huko jimboni kwake alipita kwa hongo.
ASSUMPTER NSHUNJU MSHAMA
![]()
Member of Parliament CV
*************************************************************
Salutation Honourable First Name: Assumpter Middle Name: Nshunju Last Name: Mshama Member Type: Constituent: Nkenge Political Party: CCM Office Location: Box 64, Kyaka. 21494, Dar Es Salaam Office Phone: +255 783 852736/+255 752 131913 Ext.: Office Fax: Office E-mail: amshama@parliament.go.tz Member Status: Current Member Date of Birth
[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL [/TH]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
Huyu mama nilimsikiliza jana nikashindwa kuelewa alikuwa anasema kitu gani.
Imebidi niingie kwenye wavuti wa bunge na nilichopata ni cv yake ambayo hajui hata alizaliwa lini.
Ofice zake anasema zipo Kyaka, Dar es Salaam, Jamani Kyaka ipo sehemu gani hapa Dar.
Huyu mama ni mtupu ni mtupu kichwani hakuna kitu, nadhani ccm walimtoa mirembe wakamchukua kwa vituko vyake, nawaomba wamrudishe akamalize tiba.
Ni kati ya watu wanofanya bunge kuwa kama gulio. Hata mwanangu wa darasa la saba anajua kujenga hoja kuliko huyu mama. Sijui aliwashawishi vipi hao waliompigia kura.