Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 14,122
- 13,392
kwani kenani yeye hataki katiba mpya??Chama kikiona ana kosa kimfukuze kama walivyofukuzwa hao mnaowaita covid19.
kwani kenani yeye hataki katiba mpya??Chama kikiona ana kosa kimfukuze kama walivyofukuzwa hao mnaowaita covid19.
Kwa mawazo hayo ndio mana chama chenu hakiendeleiKwa mawazo yangu ni bora angetangaza kujitoa kwenye chama chake ili aweze kuwatumikia vizuri wananchi wa Nkasi ambao alisema walimchagua yeye na sio chama chake.
Wewe huitaki?!kwani kenani yeye hataki katiba mpya??