Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,584
- 17,526
Kitwa-Mulomoni
Njoo ukamate mwizii huku
Njoo ukamate mwizii huku
Hali ya hewa ya ukanda huo ina mvua za misimu mitatu ya mvua kwa mwaka hivyo ukame hautokeagi huko. Na kwa sababu ya kuwa upande wa magharibi wa ziwa Victoria, upepo unaovuma kuelekea nchi kavu unasafirisha hewa yenye umajimaji. Pia upepo ukivuma kutoka magharibi kwenda mashariki, unakuwa na mvuke kutoka msitu mkubwa wa Kongo. Na kutokana na ziwa kuna mawingu ya Cb (Cumuloninbus) yanayo leta mvua nyingi inayo ambatana na radi siku 215 kwa mwaka katika sehemu hizo za Chato na Kagera kwa ujumla. Majani na miti hubaki ya kijani (evergreen ) mwaka mzima.

