Fot fendKwani chadema ina watu wenye akili timamu? Fuatilia utagundua mwenyewe wote 0 brain.
Chato yenyewe ilikuwa mkoa wa Kagera!Hivi Burigi ipo Bmlo, Muleba mkoa wa Kagera au ipo Chato mkoa wa Geita?.
Rwanda hakuna majangiri !Chuki zako tu wanyama waliwidwa na wenyeji kutafuta kitoweoHao wanyama walikuwepo tena wengi Sana Ila Kwa sababu ilikuwa mbuga Tu majangiri hasa wa rwanda. waliwaua wote.
Hizi pesa zinatoka wapi huku miradi mingine ikisimamishwa kwa kukosa pesa? Je imo katika ilani yao? Je Bunge limehusishwa? Hivi.... daaah!TANAPA set to spend 3.9bn/- to upgrade game reserves
THE Tanzania National Parks Authority (TANAPA) is set to spend 3.9bn/- for improvement and development of the newly upgraded game reserves into national parks in the regions of Kagera and Geita.www.ippmedia.com
Wanasomba maneno mitaani ili kuhalalisha ujambazi wao (tukisoma ramani hatuoni mahali Burigi inapakana na Rwanda au Biharamulo, Muleba, Ngara na Karagwe ndio Rwanda?)Rwanda hakuna majangiri !Chuki zako tu wanyama waliwidwa na wenyeji kutafuta kitoweo
Narudia tena Mbuga FAKE na haitavutia mtalii yeyote kutoka nje hata katika vivutio vya Watalii vinavyojulikana duniani chato burigi haimo watalii si wajinga wajinga eti muhamishie wanyama huko ili kuwachuuza.
We unasoma ramani?Wanasomba maneno mitaani ili kuhalalisha ujambazi wao (tukisoma ramani hatuoni mahali Burigi inapakana na Rwanda au Biharamulo, Muleba, Ngara na Karagwe ndio Rwanda?)
Bila Shaka unakumbuka oparesheni tokomezaRwanda hakuna majangiri !Chuki zako tu wanyama waliwidwa na wenyeji kutafuta kitoweo
Hakuna cha Mbuga ya Burigi Chato,kwa sababu Burigi haijawahi kuwa Chato hata siku moja,Burigi ni ya Muleba na Biharamlo mkoani Kagera na hata wasimamizi wa mbuga hiyo walikuwa Biharamlo mkoa wa Kagera.
Kilichofanyika hapo ni Changa la macho kwa wasiojua,wasiendelee kuhoji uwanja wa kifamilia uliojengwa Chato kwa kuwa uwanja wa ndege Chato utaonekana umejengwa sehemu sahihi kwa ajili ya shughuri za kitalii, wakati hifadhi hiyo imebuniwa na kupelekwa mahali pasipo sahihi kwa malengo ya kufunika sura ya kifamilia ya uwanja wa ndege na kuupa sura ya kitega uchumi.
BURIGI CHATO;
Hali ya hewa ya ukanda wa Kagera hadi Chato ina mvua za misimu mitatu ya mvua kwa mwaka hivyo ukame ni nadra sana kutokea katika ukanda huo. Na kwa sababu ya kuwa upande wa magharibi wa ziwa Victoria, upepo unaovuma kuelekea nchi kavu unasafirisha hewa yenye umajimaji.
Kijiografia Upepo unaovuma kutoka magharibi mwa ukanda wa Kagera hadi Chato kwenda mashariki, unakuwa na mvuke kutoka msitu mkubwa wa Kongo. Na kutokana na ziwa kuna mawingu ya Cb (Cumuloninbus) yanayo leta mvua nyingi inayo ambatana na radi siku 215 kwa mwaka katika sehemu hizo za Chato na Kagera kwa ujumla.
Majani na miti hubaki ya kijani (evergreen ) mwaka mzima.
#Karibu Mbuga ya Burigi-Chato.
ungejibu swali kuliko kutoa maelezo ningekuelewa ila naomba ujibu swali hili ewe msoma ramani mkuu "... ni wapi mbuga ya burigi inapakana na Rwanda?" Ruksa kukurupuka tena... au waambie hao waliokuambia wakuambie tena ili nasi tuijue hiyo border point.We unasoma ramani?
Wakati watu wameishi huko burigi na kuvua samaki ziwa burigi!!
Yani mnajifanya wajuaji wakati wenyeji wapo
Mbona inawezekana kabisa tunaweza kupiga bomu letu kutoka store yetu mbona crater itatokea tukilipua pale unaonaje???....hivi kweli hatuwezi kuibeba ile kreta ya ngorongoro pamoja na vilivyomo kuvihamishia burigi chato...??
Nimeuliza tu kutokana na ujinga wangu
Kila kitu tunatengeneza mbona ikulu wanyama wapo kwani umewahi sikia wanyama wamekufa kisa hali ya hewa???Unafikiri wanyama hawana akili?? Kama hali ya hewa ni nzuri Sana wanyama wangekuwepo wala isingehitaji kwenda kukwapua wanyama sehemu nyingine kuja kuwapachika hapo!
Itazame akagera national park ipo Rwanda.ungejibu swali kuliko kutoa maelezo ningekuelewa ila naomba ujibu swali hili ewe msoma ramani mkuu "... ni wapi mbuga ya burigi inapakana na Rwanda?" Ruksa kukurupuka tena... au waambie hao waliokuambia wakuambie tena ili nasi tuijue hiyo border point.
Kumbuka swali la awali Biharamulo, Ngara, Muleba na Karagwe ziko Rwanda?
Pia usipotoshe swali kwa kuzusha uongo ambao sikuuandika (hakuna mahali nimeandika "watu hawakuishi ama kuishi humo" mkaa umechomwa na wanyama wamewindwa sana nafahamu hilo sihitaji kuambi