Muyobhyo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 8,149
- 6,551
ccm inavyofanya
kwanza rekebisha kiswahili ndio maana tunazidiwa na wachina, ajiuzulu sio ajiuzuru, ila ccm inavyofanya sio kabisa, yani dah, yani iko juu ya sheria, wanadanganya kuwa mahakama imezuia, mahakama inakanusha kuwa hakuna kitu kama hicho, halafu unachekelea, ati kama kachoka ajiuzulu, mie naona upo katika huo mgawo wa huo ufisadi uliogundulikaEti anasema amechoka, si ajiuzuru sasa.