Mbowe: Tumechoka!

Mbowe: Tumechoka!

Mbowe amekuwa dhaifu mno, kama uongozi wa chama umemshinda aachie damu changa akina Mnyika. Kiongozi wa chama cha upinzani hatakiwi kuwa anakubali kila dhuluma anayofanyiwa na chama tawala na polisisiemu na kuishia kutoa matamko yasiyo na tija.

Itisha maandamano Mbowe, Lijualikali amekataliwa kupiga kura, huku Dar wabunge wanadhalilishwa wewe unaleta matamko yasiyo na tija. Hakuna hata tamko moja limeleta faida. If you cant beat them join them achia chama watu wa kazi
yeah man...hit below the belt
 
Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA,Freeman Mbowe amesema chama chake kimechoshwa na kukamatwa kwa Wabunge wake kwa hila za kisiasa. Akihojiwa na ITV,Mbowe amesema chama chake kinalaani kukamatwa na kudhalilishwa kwa Wabunge wake.

Mbowe amesema chama chake kinalaani hila zote na kuitaka Serikali itende haki hasa kwenye uchaguzi wa Meya wa Dar es Salaam. Leo nyumba ya Mbunge wa Kawe Halima Mdee imekaguliwa na polisi wanaosemwa kuwa walikuwa wakisaka nyaraka.

Mbunge Mdee amedai kuwa Mbunge wa Ukonga,Mwita Mwakwabe amekamatwa na polisi. Pia,Mbunge Lijualikali wa Kilombero amekamatwa na polisi.
Mbowe acheni kelele kama kweli mnaonewa. Hebu Fanyeni vitu ambavyo vitasababisha muheshimiwe na hao wanaowaonea. Kila siku mnalalamika tu kwa wananchi ambao hawana mchango wowote ule
 
Ukichoka unapumzika, so Mr Mbowe pumzikeni kwanza
 
Siku nyingi sana nilisema Tz hutuwezi kuikomboa kutoka ccm, sababu moja kubwa ni kuwa 87% ya watz bado tuko kwenye ujinga wa kiwango cha juu kabisa, mantiki yake tunaendelea na evolution kwenda kuwa binadamu wa karne ya 21 na hii itachukua siyo chini ya miaka 200. Sasa kwa kuwa ccm wanaelewa vizuri hali hii ya ujinga wa watz wengi wanaitumia vizuri kwenye kila sehemu inayohitajika na napenda kutoa ushauri wa bure: Acheni kulaumu na kulaani ccm maana they are just beneficiaries of majority of Tanzanians who are ignorants. Km tunahitaji kuondoa ccm ktk kipindi cha miaka 20 ijayo ni njia ya msituni tu maana kwa njia ya sanduku la kura, licha ya kuwa hata km utashinda hutapewa, refer (Zanzibar, Arusha, Tanga na sasa Kilombero) lakini bado kuna idadi kubwa ya watz ambao bado wanaipigia kura ccm refer (idadi ya madiwani wa ccm nchi nzima na zaidi serikali za mitaa, ccm inahodhi more than 80%). Bottomline, njia ya kufikia mabadiliko ya kweli ziko mbili: 1 let's wait for evolution for several generations to come (I estimate about 200 years) to change 87% of ignorants to smart people and 2 if we want to see change happen in our lifetime msituni is the only option, hii sanaa ya uchaguzi ni sawa na njia ya kwanza, kwa hiyo in absence of second option, uchaguzi uwepo usiwepo itatuchukua njia ya kwanza
precisely
 
Kwa kauli hii moja kwa moja Mbowe amepoteza uhalali wa kuwa mwenyekiti wa Chadema wala kuwa kiongozi wa kambi ya upinzani....ni ambayo haikutegemewq kutolewa na mtu kama yeye hasa katika kipindi hiki kigumu kwa wabunge wa upinzani hapa Dar.....Mbowe amepoteza mvuto na hamasa kwa wanachama
Hana budi kuondoka na kuwaachia wengine.....

SEMA KWELI JAPO INAUMA....
 
Tume ya CCM iliona iharakishe kutangaza matokeo ya rais uchaguzi mkuu 2015 wakasahau matokeo ya ubunge na udiwani.Leo hii wanawanga mchana bila aibu kwa kulamizisha umeya kwa idadi ndogo waliyokuwanayo.
 
Ccm machoni kwa watu wataendelea kuchezea vichapo tu!
 
Mwaka jana, CCM wameiba kura za LOWASSA, tukapiga kimya!
Wakafuta uchaguzi wa Zanzibar kisa Maalim alishinda, tukamezea na kuvuta subira.
Leo wanadhulumu viti vya uenyekiti wa halmashauri na umeya, tunyamaze pia? Tuishie kutoa matamko? Hapana!
CHADEMA tutendeeni haki wanachama wenu, sisi sio waoga kihivyo! Semeni mnataka tufanyeje! Tuko radhi!!
HAKI itendeke!
 
Mkuu pamoja na Mazuri yote anayoyafanya JPM ambaye namkubali kwa asilimia mia lakini katika hili tuwe wazi kuna kasoro hapa ...ni lazima kama tupo kwenye demokrasia tuiingatie kwa vitendo
 
Mbowe leo kiukweli ameongea kma mtoto mdogo yafaa awaachie vijana cheo kina mnyika
 

Kwa hiyo kama amechoka sisi tufanye nini sasa? Mwambie aende Dubai likizo kupumzika! Halafu pia mwambie awaache Askari wetu wafanye kazi yao, Askari wetu wana uwezo wa kuingia popote pale ndani ya ardhi ya TanZania hivyo hata yeye Mbowe pia ajitayarishe tu siku wakimpigia hodi atoe ushirikiano!
Naona hali imeshakuwa mbaya, unataguta nabwa JF, kwa bahati mbaya wachangiaji wote hawahitaji kuchi
 
Unaweza ukadhani ni sifa lakini kinachojengwa ni kiovu kupitiliza.Hujui kesho yako.Siasa siyo mwisho wa kila kitu.Kuna maisha nje ya siasa.

maneno ya mkosaji hayo

tuliwaeleza kumbeza magufuli kabla ya hizi chaguzi ilikuwa ni ujinga!! hamkutka kusikia

magufuli ni CDM kwa matendo; mmemlazimisha kuwa CCM

wapuuzi nyie
 
Kwa hiyo kama amechoka sisi tufanye nini sasa? Mwambie aende Dubai likizo kupumzika! Halafu pia mwambie awaache Askari wetu wafanye kazi yao, Askari wetu wana uwezo wa kuingia popote pale ndani ya ardhi ya TanZania hivyo hata yeye Mbowe pia ajitayarishe tu siku wakimpigia hodi atoe ushirikiano!
Ndo maana mnafeli mitihani hata hamsomi vizuri. Mwandishi hajasema Mbowe ndo amechoka, bali wafuasi ndo wamechoka. Wanamsihi afanye maamuzi kwa maana nyingine. Read between lines before you comment.
 
maneno ya mkosaji hayo

tuliwaeleza kumbeza magufuli kabla ya hizi chaguzi ilikuwa ni ujinga!! hamkutka kusikia

magufuli ni CDM kwa matendo; mmemlazimisha kuwa CCM

wapuuzi nyie

Kweli CCM imwaharibu vijana akili , kama huyu naye ni GT oh poor Tz
 
Siku nyingi sana nilisema Tz hutuwezi kuikomboa kutoka ccm, sababu moja kubwa ni kuwa 87% ya watz bado tuko kwenye ujinga wa kiwango cha juu kabisa, mantiki yake tunaendelea na evolution kwenda kuwa binadamu wa karne ya 21 na hii itachukua siyo chini ya miaka 200. Sasa kwa kuwa ccm wanaelewa vizuri hali hii ya ujinga wa watz wengi wanaitumia vizuri kwenye kila sehemu inayohitajika na napenda kutoa ushauri wa bure: Acheni kulaumu na kulaani ccm maana they are just beneficiaries of majority of Tanzanians who are ignorants. Km tunahitaji kuondoa ccm ktk kipindi cha miaka 20 ijayo ni njia ya msituni tu maana kwa njia ya sanduku la kura, licha ya kuwa hata km utashinda hutapewa, refer (Zanzibar, Arusha, Tanga na sasa Kilombero) lakini bado kuna idadi kubwa ya watz ambao bado wanaipigia kura ccm refer (idadi ya madiwani wa ccm nchi nzima na zaidi serikali za mitaa, ccm inahodhi more than 80%). Bottomline, njia ya kufikia mabadiliko ya kweli ziko mbili: 1 let's wait for evolution for several generations to come (I estimate about 200 years) to change 87% of ignorants to smart people and 2 if we want to see change happen in our lifetime msituni is the only option, hii sanaa ya uchaguzi ni sawa na njia ya kwanza, kwa hiyo in absence of second option, uchaguzi uwepo usiwepo itatuchukua njia ya kwanza
Msituni mtaingia wachaga na watu wa kaskazini tuu, watu wenye akili timamu hawawezi kuukubali huu ujinga wa CDM wa kutotumia demokrasia ndani ya chama na kuhubiri demokrasia nje, uzuri watanzania wameshafahamu kuwa Mbowe na CDM ni jipu sugu na mkilinzisha mtashughulikiwa kwa nguvu zote, na uache kusema watanzania ni wajinga sema wachaga na watu wa kaskazini ndio wajinga wanahubiri na kutaka usawa wakati wanapeana madaraka na vyeo na kugawana rukuzu wao kwa wao...watanzania ambao hawatoki kaskazini weshawashtukia labda akina Lissu et al ambao nao wako kwenye mfereji wa ruzuku ndio wanaowaunga mkono...mtaisoma namba awamu hii.
 
maneno ya mkosaji hayo

tuliwaeleza kumbeza magufuli kabla ya hizi chaguzi ilikuwa ni ujinga!! hamkutka kusikia

magufuli ni CDM kwa matendo; mmemlazimisha kuwa CCM

wapuuzi nyie
Mpuuzi mwenyewe.Umeshawahi kuona namtukana mtu.??Ni jibu kwa hoja lakini usiniiye mpuuzi. Sasa mpuuzi ni wewe mwenyewe
 
Back
Top Bottom