Mbowe: Tumechoka!

Mbowe: Tumechoka!

WE NI KADA FEKI
Umejipandikiza ukada ili upenyeze sumu yako kirahisi.mtiririko wa matamshi yako unadhihirisha wazi wazi.

Makada tuwe waungwana japo kwa muda mfupi. Kikwete alikuwa mwepesi sana wa kuzungumza pindi ishu kama hizi zinapojitokeza. Tukamuona punguwani na dhaifu. Sasa tunaanza kulia ia ili rais aingilie. Sasa ujinga tufanye sisi tumlaumu Rais wetu? Kwa lipi?
 
Kuweni na hekima na kujua kuwa Mbowe anajaribu kuonyesha kuwa wamechoka na maonevu hivyo busara itumike kuepusha mabaya.
Hivi akihamasisha watu wajitokeze kudai haki yao ya waliowachagua itakuwaje? Fikiria watu kama wale waliomsindikiza Lowasa wakiandamana kuna POLICE wa kuzuia hayo? Hata kama watayatawanya jiji litapona kweli? Nafasi hiyo itatumiwa na wezi na majambazi na vifo havitakuwa na idadi.
Tujifunze kuhurumia wengine kwa kukwepesha maafa yasiyo sababu. Hongera Mbowe kwa kuliona hilo, ila kwa vile wamejaa upofu yakitokea wewe hauhusiki
Mkuu bora lawama kuliko fedhea. Ikumbukwe kuwa shuguli za kisiasa hapa nchini zimepigwa marufuku kinyume na matakwa ya katiba
 
Sasa umechoka halafu. mimi ni mmoja wa watu wasiopenda kuonewa hata kidogo. lakini kiongozi kusema tumechoka na nani mliechoka naye. aliechoka ni wewe tu. jiuzuru si umechoka.
 
Back
Top Bottom